lol!!!! Chapa ni CPA(T) 🙂🙂 Watu walishafanya modification na kuchomeka 2 letters ambazo hazipo.
hhhhaaa! hivyo! nasubiria majibu bana. sijui kitaeleweka. lol. tukumbukane kwenye maombi maana hapana chezeiyaa chapa. teheeee.
​Wala usikonde utakumbukwa kwenye maombi kila siku.
Na nini???papuchi,kupigwa mtungo... shda tupu... M.b.o.o.o uyeeeee
Hapo umenena kabsaa, kujipongeza muhimuKosa kuzaliwa mwanaume ingekewa saivi unahangaika magengeni na kikapu ukitafuta mapochopocho ya kumpikia mzee jioni au uko jikoni na kanga moja ukimuandalia mzee
Mmmhungezaliwa mwanamke hiyo raha unayoiona sahv ingekuwa ni mara mbili yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona wengine wanakuwa tena wanawake.
HahahaKosa kuzaliwa mwanaume ingekewa saivi unahangaika magengeni na kikapu ukitafuta mapochopocho ya kumpikia mzee jioni au uko jikoni na kanga moja ukimuandalia mzee