Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli ni balaaUnajua kukojoa huku umesimama ni raha sana.? Duuh kama ningezaliwa demu saizi ningekua nawaza hubby akirudi kwa jobu anigegede.?! Teh teh teh wanawake wana baraaa,mala sijui hedhi,fangasi ktk papuchi,kupigwa mtungo... shda tupu... M.b.o.o.o uyeeeee
ungezaliwa mwanamke hiyo raha unayoiona sahv ingekuwa ni mara mbili yake.
Huwezi kukanusha tusi hili eti kisa hawafiki huku. Kwasababu umegeneralize wanawake wote katika uzi wako wa kipuuzi, maana yake umewajumuisha mama yako, dada zako, shangazi zako, nyanya zako na viumbe wote wa kike katika ukoo wenu. Hayo sio matusi kwao? Hayo uliyoyainisha kama adha za mwanamke, baadhi yao mama yako alikuwa anayafanya kwa ajili yako na malezi yako. Sasa hizo adha ndo zimekukuza umekuwa mkubwa unamtukana. Je sio mwanamke aliyekuwa anakutawadha ulivyo kuwa kitoto? si ulikuwa unalishwa na mwanamke ulivyokuwa mchanga? nguo zako alikuwa anafua baba yako ulivyokuwa mtoto? Wewe umeshapewa radhi....kampigie goti Mungu wako muombe msamaha. Laana itakuafata wewe.Hao wazazi wanafata nini huku...?
Huwezi kukanusha tusi hili eti kisa hawafiki huku. Kwasababu umegeneralize wanawake wote katika uzi wako wa kipuuzi, maana yake umewajumuisha mama yako, dada zako, shangazi zako, nyanya zako na viumbe wote wa kike katika ukoo wenu. Hayo sio matusi kwao? Hayo uliyoyainisha kama adha za mwanamke, baadhi yao mama yako alikuwa anayafanya kwa ajili yako na malezi yako. Sasa hizo adha ndo zimekukuza umekuwa mkubwa unamtukana. Je sio mwanamke aliyekuwa anakutawadha ulivyo kuwa kitoto? si ulikuwa unalishwa na mwanamke ulivyokuwa mchanga? nguo zako alikuwa anafua baba yako ulivyokuwa mtoto? Wewe umeshapewa radhi....kampigie goti Mungu wako muombe msamaha. Laana itakuafata wewe.
thehunk kwani kuna tusi hapa mkuu ........... duh samahani kama nimekukwaza aisee sikujua kama ingekuwa hivi....kwa mara ya kwanza nilipoiona hiithread nilivutiwa nayo na kwa kuwa sikudhani kuwa ingekuja kugeuka kuwa kukoment matusi juu ya jinsia ya kike...what i was expect ni kama kuwashangaa wasichana kukaa muda mrefu kwenye kioo ......kuvaa viatu virefu wakati wanaumia mpaka inabidi watembee naviatu pea zaid yamoja kwenye gari........na vitu kama hivyo ...lakini si kwenda eti we unabreed mi sibreed.....sijui unavyogegedwa unashurutisha mi nakuwa kwa juu napata raha....huu ni utoto na udhalilishaji
Kosa kuzaliwa mwanaume ingekewa saivi unahangaika magengeni na kikapu ukitafuta mapochopocho ya kumpikia mzee jioni au uko jikoni na kanga moja ukimuandalia mzee