Aurelia GM
Member
- Jul 25, 2017
- 62
- 24
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu samahani ina maana yeye ndo hafanywi!!Kwa hiyo mkuu hufanyi!!?
SijakuelewaMkuu samahani ina maana yeye ndo hafanywi!!
Labia minora ni mashavu ya uchi wa mwanamke. Sasa inapotokea kukawa na jipu kwenye shavu la ukenini, sidhani kama tendo la ndoa linaweza kuwepo. Mwenye bandiko lake anaposema amekuwa akisumbuliwa na jipo kwenye Labia Minora ina maana yeye ndiye anayefanywa tendo la ndoa.Sijakuelewa
Tumia Ceftriaxone, ni sindano ya antibiotic inayochomwa kwenye mishipa ya damu (mkononi) utachomwa sindano moja kwa siku kwa muda wa siku tano hilo tatizo lako litakwisha kabisaHabari zenu wana jamvi.....Nimekua nikisumbuliwa na jipu kwenye Right Labia Minora ...Nimetumia Antibiotics lakini baada ya kupona nakaa muda Fulani linarudi tena mahali hapo hapo...Mara nyingi nakwenda kupasuliwa hospitalini lakini linarudi tena ......Msaada Wenu Tafadhali
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua hilo lakin pia mimi nnavyofahamu mwanaume na mwanamke wote wanashiriki kile kitendo. Sasa ukisema mwanamke anafanywa unakuwa unamaanisha mwanamke yeye anakuwa yupo yupo tu ila mwanaume ndo anashughurika kitu ambacho sometimes haiwi hivyo. Kwa hiyo wote mwanaume na mwanamke wote wanafanyaLabia minora ni mashavu ya uchi wa mwanamke. Sasa inapotokea kukawa na jipu kwenye shavu la ukenini, sidhani kama tendo la ndoa linaweza kuwepo. Mwenye bandiko lake anaposema amekuwa akisumbuliwa na jipo kwenye Labia Minora ina maana yeye ndiye anayefanywa tendo la ndoa.
Mhh, siku hizi kiswahili kigumu sana Kwa hiyo wanafanyanaNajua hilo lakin pia mimi nnavyofahamu mwanaume na mwanamke wote wanashiriki kile kitendo. Sasa ukisema mwanamke anafanywa unakuwa unamaanisha mwanamke yeye anakuwa yupo yupo tu ila mwanaume ndo anashughurika kitu ambacho sometimes haiwi hivyo. Kwa hiyo wote mwanaume na mwanamke wote wanafanya
Nipo Dodoma sijajua kwa huku hospital gani ni nzuri......Swali,unaenda hospital gani ? Kama vip nenda either Agha Khan au Mhimbili usiende hizi hospital ndogo maana watakachofanya watatibu hilo jipu lakini hawatajua root-cause. Hebu nenda hospital ambayo ni more advanced uone. Mi si dkt plz
Asante sana.....vipimo vyote like?Pole sana. Umefanya vipimo vyovyote?
Well saidTumia Ceftriaxone, ni sindano ya antibiotic inayochomwa kwenye mishipa ya damu (mkononi) utachomwa sindano moja kwa siku kwa muda wa siku tano hilo tatizo lako litakwisha kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Seth kwa ushauriSwali,unaenda hospital gani ? Kama vip nenda either Agha Khan au Mhimbili usiende hizi hospital ndogo maana watakachofanya watatibu hilo jipu lakini hawatajua root-cause. Hebu nenda hospital ambayo ni more advanced uone. Mi si dkt plz
Pole mkuu. Likipona hapo utakuwa na migundi ya kutosha kujaza kidumu cha lita 5!