Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Tafuta pesa, acha wivu na makasiriko yasiyokuwa na sababu za msingi.Zamani tuliweza kuteta mawili matatu na jirani huku kila mmoja akiwa kibarazani kwake.
Hii iliboresha sana mahusiano na umoja wetu wa kiafrika.
Sasa huyu jirani sijui nani kamshauri kainua ukuta mrefu kama ule wa yeriko. sasa hatuonani tena hata wiki inaweza ikakata.
Haya sio maisha yetu waafrika maisha ya kitumwa kabisa haya.
🤣🤣View attachment 2971221
Jirani yako hapendi mtu mwenye kidomodomo
mkuu makasiriko hamna mbonaTafuta pesa, acha wivu na makasiriko yasiyokuwa na sababu za msingi.
Maisha ya kienyeji kama hayo unayopenda yamepitwa na wakati
Amekuwekea fensi kwa sababu ameona hauna jambo la maana la kuongea. Naunga mkono maamuzi yake✊Zamani tuliweza kuteta mawili matatu na jirani huku kila mmoja akiwa kibarazani kwake.
Hii iliboresha sana mahusiano na umoja wetu wa kiafrika.
Sasa huyu jirani sijui kenge gani kamshauri kainua ukuta mrefu kama ule wa yeriko.[emoji57] sasa hatuonani tena hata wiki inaweza ikakata.
Haya sio maisha yetu waafrika maisha ya kitumwa kabisa haya.
wakuu saivi nna huzun nahitaji maneno yenu ya farajaItakuwa ulikuwa unamuomba sana vitu, kaamua kuepuka hiyo kero kistaarabu
Jololo huko mtwara hamjambo?Sasa itakubidi umvizie sana house girl wake ili kumpata, jamaa amekukatili mno aisee
mkuu tuwekee apa chanzo kinachosema kama nchi tumeuacha ujamaaBadirika chief hii duniania sasa hivi haipo kwenye ujamaa bali ipo kwenye ubepari kila mtu apambane na hali yale
??Jololo huko mtwara hamjambo?
mkuu si nitavunja kiunoNa wewe nunua ngazi ili uendelee kuwasiliana na jirani.