Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,690
- 1,288
INAELEKEA AMESHAKUGUNDUA JICHO LIKO KWA MY WIFE WAKE KILA MARA, PUNGUZA UASHERATIZamani tuliweza kuteta mawili matatu na jirani huku kila mmoja akiwa kibarazani kwake.
Hii iliboresha sana mahusiano na umoja wetu wa kiafrika.
Sasa huyu jirani sijui kenge gani kamshauri kainua ukuta mrefu kama ule wa yeriko.[emoji57] sasa hatuonani tena hata wiki inaweza ikakata.
Haya sio maisha yetu waafrika maisha ya kitumwa kabisa haya.
Tuko poa nduguJololo huko mtwara hamjambo?
acha roho ya kwa nini mkuuZamani tuliweza kuteta mawili matatu na jirani huku kila mmoja akiwa kibarazani kwake.
Hii iliboresha sana mahusiano na umoja wetu wa kiafrika.
Sasa huyu jirani sijui kenge gani kamshauri kainua ukuta mrefu kama ule wa yeriko.[emoji57] sasa hatuonani tena hata wiki inaweza ikakata.
Haya sio maisha yetu waafrika maisha ya kitumwa kabisa haya.
Good kijana wangu. Endelea kupambana usije kulaumu ndugu uzeeni kama mm mzee wakoTuko poa ndugu
Picha pleased🙊Zamani tuliweza kuteta mawili matatu na jirani huku kila mmoja akiwa kibarazani kwake.
Hii iliboresha sana mahusiano na umoja wetu wa kiafrika.
Sasa huyu jirani sijui kenge gani kamshauri kainua ukuta mrefu kama ule wa yeriko.[emoji57] sasa hatuonani tena hata wiki inaweza ikakata.
Haya sio maisha yetu waafrika maisha ya kitumwa kabisa haya.
i speak my maindacha roho ya kwa nini mkuu
[emoji38]hlf tukutane kwa pilato au sio?Advantage..
Tumia hiyo fence kujengea nyumba alafu unapaua paa linamwaga maji kwa huyo jirani yako..
Hakunaga nzuri mbaya.
duh[emoji36]Bado hujasema
Ndo manake[emoji38]hlf tukutane kwa pilato au sio?
sitaki hekaheka zisizo faidaNdo manake
mkuu asante kuona ujinga wa uyu jiraniNajuta kupoteza mda kwenye vitu vya kijinga