Jirani nimekuchoka

Jirani nimekuchoka

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Mimi ni kijana wa miaka 25, nimepanga chumba kimoja uswahilini na hii nyumba tuko wapangaji kwenye vyumba vitatu. Tatizo linalonisumbua ni jirani yangu mmoja ana msichana wake ana matatizo kidogo ya maskio ambayo wakati wa kufanya mambo yao msichana huwa anatoa sauti kali sana(nadhani huyu msichana huwa hajisikii mwenyewe) na hivi nyumba zetu hazina hata ceiling board basi mambo huwa magumu sana kwa sisi majirani esp mimi single boy.

Tatizo lingine kubwa ni uwezo wa huyu jirani yangu kusustain kwenye game kwa muda mrefu na hivyo kelele kuwa muda mrefu,mfano juzi amepiga mambo zaidi ya masaa mawili.Msaada, je nimwambie apunguze muda wa game au amfunge msichana wake mdomo,au nimchongee kwa mama mwenye nyumba apewe notisi.

Jamani msaada wenu ni muhimu kwangu
 
Student:Good morning teacher.
Teacher: good morning, how are you.

Student:We are fine thank you.

Teacher: fine, seat down

Student: thank you teacher
 
isamehe tu kwani unaonekana hupendi bughudha za uswahilini ili ukahamie masaki au oysterbay.

kapange mikocheni
nilimwambia dalali anitafutie chumba hayo maeneo chenye gypsum,tiles ,choo na bafu ndani kwa bajeti yangu ya 30,000 kwa mwezi lkn aliniambia nisipotoka ofisini kwake ataniitia polisi,sijui hata tatizo lilikua nini?
 
Back
Top Bottom