Jirani nimekuchoka

Jirani nimekuchoka

Nunua earphones kuuubwa....uwe unasikiliza muziki kwa sauti ya juu itasaidia mkuu😀😀
 
Wakati mwanamke anapiga kelele mfokee kwa sauti ukiwa chumbani kwako kuwa apunguze sauti maana wao sio wa kwanza.
 
Tafuta mpenzi wako. Uwe unapiga game kufuata ratiba za hao viziwi.
 
Sipati picha jinsi ulivyovishirikisha viganja na wese. Nunua kidumu cha wese
 
nilimwambia dalali anitafutie chumba hayo maeneo chenye gypsum,tiles ,choo na bafu ndani kwa bajeti yangu ya 30,000 kwa mwezi lkn aliniambia nisipotoka ofisini kwake ataniitia polisi,sijui hata tatizo lilikua nini?

we unataka chumba cha starehe namna hiyo kwa hela ya mihogo!
huyo dalali ni balaa mwingine angekunasa vibao
 
mm kuna jirani yangu naye ana mchezo huo huo...nilichofanya na mm nikatafuta cd ya ngono nikapandisha sauti adi juu ...ikawa ngoma draw ...sasa wanafanya mambo yao kimya kimya ...

kwikwikwikwi.....jf tamu aseeeee looooooo....

.mbavu zangu mieee
 
Umenikumbusha enzi hizo naishi keko mitaa flan hivi,,looooo ni shideeeeer....... walowahi ishi/ wanaoishi uswahilini hasa sehemu zenye "guest houses" kama za keko wanalijua hili teh...
 
Back
Top Bottom