Jirani nimekuchoka

Jirani nimekuchoka

Warekodi halafu mchana wakati yupo fungulia kwa sauti kubwa halafu wewe ukiwa nje utaona huyo jirani yako atafanya nini.
 
Acha chabo dogo utapofuka.
She's_right_you_know_meme.jpg

sipigi chabo lkn naona wananishawishi kufanya hivyo
 
ckupatii picha nahisi hata fingerprnt zako zimeshafutika kwaajili kupiga puu..
 
Mkuu MSAGA SUMU wala usije ukanywa sumu unayosaga kwa sababu ya hao viziwi wanaofanyana huku wakinena kwa lugha. hiyo kero anapaswa aitatue mother house wako kwa kukuwekea ceiling board. there is no way you can avoid that calamity besides asking your mother house to solve that problem 4u. understand?
 
We si unashindaga gheto na mtoto wa kigogo mtangaza nia? Sasa huwaga hawawapandishi mzuka kweli?
 
Hapo tatizo sio huyo mrembo mkuu, hiyo ni changamoto ya kukaa nyumba isiyo na ceiling board
 
Hapa kuna vi element vya kumuonea wivu jirani yako na mkewe na uwezo wake wa kupiga game muda mrefu.
 
Ongeza budget ya sabuni na petroleum jelly.. uji selfishe
 
Huyu jamaa kuna thredi yke humu ana mke na mtoto, mwenye link atuwekee.
 
Na wewe mtokee huyo kiziwi upige mambo

Hahahahaah umenikumbusha rafiki yangu mmoja, yeye alikuwa gest za uchochoroni type kama hiyo haina sealing,sasa kerere zile za mwanamke kulia kimahabba kukampeleka vibaya usiku mzima hakulala, ikambidi kesho yake akae mlangoni amvizie yule dada.bahati nzuri asubui yule dada akawa wakwanza kutoka chumbani kwenda bafuni kuoga,siunaju bafu zanje tena. Yule mshikaji wangu akamfuata yule dada mule bafuuni na kumuomba yule dada aweke kichwa tuu eflu ishirini hii hapa dadad akaachia mzigo.
 
nilimwambia dalali anitafutie chumba hayo maeneo chenye gypsum,tiles ,choo na bafu ndani kwa bajeti yangu ya 30,000 kwa mwezi lkn aliniambia nisipotoka ofisini kwake ataniitia polisi,sijui hata tatizo lilikua nini?

Kwa jibu lingine ni kwamba hiyo pesa yako Haitoshi
 
Kazi rahisi sana nenda kawaitie polisi kuwa wanapigana alafu wakija kusikia hayo makelele basi wataenda kumtetea huyo mdada wakidhani kuwa ana pigwa na mumewe baada ya hapo mshikaji atapewa onyo la kumpiga mkewe hivyo atafanya kwa uangalifu na tahadhari UNAKUWA UMETATUA TATIZO KI-GREAT THINKER
 
nilimwambia dalali anitafutie chumba hayo maeneo chenye gypsum,tiles ,choo na bafu ndani kwa bajeti yangu ya 30,000 kwa mwezi lkn aliniambia nisipotoka ofisini kwake ataniitia polisi,sijui hata tatizo lilikua nini?

ha ha haaaaaaaaa dah
...hatari sana jf is more than body masage
 
Back
Top Bottom