punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 451
Duu mkuu, mbona hizi sifa sawa kabisa na za wale jamaa wanaoamkiana 'habari ja lelelo' Sikujua kama ule mkoa ni balaa tupu.Dah! hiyo AVATAR inanikumbusha walipokuwa wanahama kutoka South Afrika kuja Tanzania. Tatizo kwa kule Ungonini kuchukua mke wa mtu ni kama kwa watu fulani ilivyokuwa heshima kwao kutunza busha.
Tatizo ni hao wake za watu wanajua fika jinsi wakunyumba wanavyomudu kulea wake ,wake za watu ni wenyewe wanajigonga kama samaki na chambo,mtani tumeishakujeruhi nini,ukiona mtu anaisifu mvua hujue imemshea
Acha wajisifie ni kweli wako juu sanaMautamu ma ujanja ma utundu!!!! mbona mnapenda kujisifia sana jamani?? hii si ni siri ya kila mlaji ndio ajuaye kashibishwa au bado??
Acha wajisifie ni kweli wako juu sana
mbona wangoni tunajadiliwa sana humu na kujengewa mtazamo - kwa jamii????ngono ni hulka ya mtu,hebu huyu mtoa mada ajaribu kuliangalia kwa mapana hiliAcha ubaguzi wa kijinga.....utafanya watu hata wakipangisha nyumba waanze kuulizwa makabila!!Hao wanawake wanalazimishwa au wanakubali wenyewe????Kama wanakubali kwa hao wanaweza kumkubali mtu mwingine yeyote yule!!Enhe na wewe lako lipi.,...embu taja tukuchambue kwanza!!
Ni kama utani vile lakini naamini siku moja utakuja kuthibitisha maneno yangu kama utapata jirani ambaye ni mngoni. Jamaa wanatisha kwa kuchakachua wake za watu, Kama huwajui ukipata jirani mwenye jina la mnyama au linalofanana na mnyama anza kuwa na mashaka, Ukisikia Mapunda, Ngonyani, Tembo, Matembo anza kutafuta mbinu za ulinzi shirikishi kwa mkeo, yaani Wangoni ni balaaa!
We GaZETI na Topic Za WaNGONI HAUCHOKI TU?Ni kama utani vile lakini naamini siku moja utakuja kuthibitisha maneno yangu kama utapata jirani ambaye ni mngoni. Jamaa wanatisha kwa kuchakachua wake za watu, Kama huwajui ukipata jirani mwenye jina la mnyama au linalofanana na mnyama anza kuwa na mashaka, Ukisikia Mapunda, Ngonyani, Tembo, Matembo anza kutafuta mbinu za ulinzi shirikishi kwa mkeo, yaani Wangoni ni balaaa!
Pole sana ndugu....! Msifia mvua ujue imemnyeshea.....!Ni kama utani vile lakini naamini siku moja utakuja kuthibitisha maneno yangu kama utapata jirani ambaye ni mngoni. Jamaa wanatisha kwa kuchakachua wake za watu, Kama huwajui ukipata jirani mwenye jina la mnyama au linalofanana na mnyama anza kuwa na mashaka, Ukisikia Mapunda, Ngonyani, Tembo, Matembo anza kutafuta mbinu za ulinzi shirikishi kwa mkeo, yaani Wangoni ni balaaa!
Na jiran akiwa muhaya?