punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 451
Duu mkuu, mbona hizi sifa sawa kabisa na za wale jamaa wanaoamkiana 'habari ja lelelo' Sikujua kama ule mkoa ni balaa tupu.Dah! hiyo AVATAR inanikumbusha walipokuwa wanahama kutoka South Afrika kuja Tanzania. Tatizo kwa kule Ungonini kuchukua mke wa mtu ni kama kwa watu fulani ilivyokuwa heshima kwao kutunza busha.