Jirani yako akiwa mngoni, chunga mkeo.

Jirani yako akiwa mngoni, chunga mkeo.

Dah! hiyo AVATAR inanikumbusha walipokuwa wanahama kutoka South Afrika kuja Tanzania. Tatizo kwa kule Ungonini kuchukua mke wa mtu ni kama kwa watu fulani ilivyokuwa heshima kwao kutunza busha.
Duu mkuu, mbona hizi sifa sawa kabisa na za wale jamaa wanaoamkiana 'habari ja lelelo' Sikujua kama ule mkoa ni balaa tupu.
 
Tatizo ni hao wake za watu wanajua fika jinsi wakunyumba wanavyomudu kulea wake ,wake za watu ni wenyewe wanajigonga kama samaki na chambo,mtani tumeishakujeruhi nini,ukiona mtu anaisifu mvua hujue imemshea
 
Mautamu ma ujanja ma utundu!!!! mbona mnapenda kujisifia sana jamani?? hii si ni siri ya kila mlaji ndio ajuaye kashibishwa au bado??
 
Tatizo ni hao wake za watu wanajua fika jinsi wakunyumba wanavyomudu kulea wake ,wake za watu ni wenyewe wanajigonga kama samaki na chambo,mtani tumeishakujeruhi nini,ukiona mtu anaisifu mvua hujue imemshea

Si kwamba wa kunyumba ni wataalamu wa kumpika na kumla samaki no, bali ni wavuvi wazuri yaani namaanisha kwamba ni wataalamu wa kuwachomoa hata samaki waliojificha kwenye miamba. Tatizo ni kwamba wanaweza hata kuiba samaki ambaye tayari yuko ndani ya kapu au tenga
 
mbona mm sijawah kuchukua mke wa mtu?
Ukiona hivyo baba yako alikuwa mfanyakazi ukakulia kwenye mikoa mingine na kama ni kinyume na hivyo basi huko kwenu unadharaulika yaani si jasiri.
 
Acha ubaguzi wa kijinga.....utafanya watu hata wakipangisha nyumba waanze kuulizwa makabila!!Hao wanawake wanalazimishwa au wanakubali wenyewe????Kama wanakubali kwa hao wanaweza kumkubali mtu mwingine yeyote yule!!Enhe na wewe lako lipi.,...embu taja tukuchambue kwanza!!
mbona wangoni tunajadiliwa sana humu na kujengewa mtazamo - kwa jamii????ngono ni hulka ya mtu,hebu huyu mtoa mada ajaribu kuliangalia kwa mapana hili
 
Ni kama utani vile lakini naamini siku moja utakuja kuthibitisha maneno yangu kama utapata jirani ambaye ni mngoni. Jamaa wanatisha kwa kuchakachua wake za watu, Kama huwajui ukipata jirani mwenye jina la mnyama au linalofanana na mnyama anza kuwa na mashaka, Ukisikia Mapunda, Ngonyani, Tembo, Matembo anza kutafuta mbinu za ulinzi shirikishi kwa mkeo, yaani Wangoni ni balaaa!

tema mate pembeni. yapo makabila hayavumi lakini wee ukiwachekea utakula mabua lol
 
Ni kama utani vile lakini naamini siku moja utakuja kuthibitisha maneno yangu kama utapata jirani ambaye ni mngoni. Jamaa wanatisha kwa kuchakachua wake za watu, Kama huwajui ukipata jirani mwenye jina la mnyama au linalofanana na mnyama anza kuwa na mashaka, Ukisikia Mapunda, Ngonyani, Tembo, Matembo anza kutafuta mbinu za ulinzi shirikishi kwa mkeo, yaani Wangoni ni balaaa!
We GaZETI na Topic Za WaNGONI HAUCHOKI TU?
 
Ni kama utani vile lakini naamini siku moja utakuja kuthibitisha maneno yangu kama utapata jirani ambaye ni mngoni. Jamaa wanatisha kwa kuchakachua wake za watu, Kama huwajui ukipata jirani mwenye jina la mnyama au linalofanana na mnyama anza kuwa na mashaka, Ukisikia Mapunda, Ngonyani, Tembo, Matembo anza kutafuta mbinu za ulinzi shirikishi kwa mkeo, yaani Wangoni ni balaaa!
Pole sana ndugu....! Msifia mvua ujue imemnyeshea.....!
 
Back
Top Bottom