Jirani yangu ana moyo wa kipekee sana, huwa anasomesha wafanyakazi wa ndani (house boy & girl) hadi Chuo Kikuu

Ni

Ni faraja mno mfanyakazi anayekufanyia kazi ukamchukulia kama mtoto wako au kama mwana familia hii inampatia amani ya moyo na shauku ya kuendelea kufanya kazi vizuri zaidi.

Big mistake !

Mfanyakazi i Mafanyakazi na siyo mtoto wako wala ndugu yako, mlipe vizuri kama mfanyakazi ili aweze kujitegemea na kuishi vizuri lkn abakie Mfanyakazi, kama unataka awe ndugu au mtoto unaweza kumpandisha hiyo chati kwa kubadilsha ktk Mafanyakazi kuwa mtoto na ukampa na haki zote kama mtoto wako mpaka urithi, lkn hawezi kuwa Mfanyakazi tena.
 
Una shida Mahali si bure

..
 
Inategemea ...


Na yeye pia ana bahati ya kupata wafanyakazi wazuri... .
 
Chai !!!!
 
Nyi Endeleeni kuwasomesha Mimi Nipo chuo huku ntakuwa nawasaidia nawapokea nawala, pesa mtazokuwa mnawapa ntatumia nao [emoji3]
 
Mungu ambariki jirani yako kwa kuwasaidia hao na kukushauri uache njia mbaya
 
Huwezi badilika, tabia ni kama ngozi!!
Hongera jirani. Mpe mkewe salute kubwa.
Hakuna lisilowezekana kwa Mungu. Mtu akiwa na nia ya dhati kabisa ya kubadilisha tabia yake mbovu kwa kumwomba Mungu amsaidie, hakika atabadilika.
 
...Mimi mfanyakazi nikiona katulia ntafanya kama nabii Ibrahim tu...
 
Naona umenielewa vizuri jirani, usiwatafune mahausigeli kabisa, na usilete mahausiboi watamtafuna mkeo.
 
una roho ya akina mdee na wenzake...
Utu utu utu,
pia ukikumbuk dunia mapito tu,
hutaangalia mali bali utu kwnz.
na hivyo uthaman wako utakuj dhihirik hata miaka 400 baadae ukiwa haupo,
itakulip san,
 
Big mistake !

Kama ni Mfanyakazi mpe stahiki yake, mlipie NSSF kila mwezi pamoja na Bima ya Afya basi hayo mengine siyo kazi yako, kama unataka mtoto nenda kaasili Vituo wapo watoto wengi wenye mahitaji, ...
Hata huyo mfanyakazi si unaweza kumuasili badala ya kwenda huko vituoni? Kuasili kwenyewe unaweza fanya rasmi kwa kujaza makaratasi au isivyo rasmi kwa kumchukulia huyo mfanyakazi kama mwanao. Where is that BIG mistake?
 
Anawekeza pia, kuna kuwekeza kwa watu, ardhi, rasilimali na maliasili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…