Lonny Saruni Mollel
Member
- Jan 23, 2021
- 6
- 0
Huwezi jua alipomtoa na alikua wa kazi gani. Labda kaibiwa malighafiWengine wanajua kutisha watu, kuku Bei gani alafu nauli kwenda na kurudi si Bora anunue kuku mwingine tu.
Kuku mwenyewe hakuwa mtamu wala nini.Kama kichwa kinavyojieleza wakuu,
Kuku wa jirani Yangu amepotea sasa jirani yangu huyu yeye badala yakuniuliza kasafiri Kimya Kimya kwenda sumbawanga sasa Matatizo huwayanatatuliwa hivyo Jamani.
Jana jioni ndio napata taarifa yake kuwa amekwenda Sumbawanga kwaajili ya swala la kuku wake.