The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,580
- 7,203
Habari zenu wanajamvi,
Niende moja kwa moja kwenye mada Mie nashukuru Mungu nimefanikiwa kupata Kibanda nje kidogo ya jiji la Bashite nimehamia kama mwaka sasa hapa,
Sasa kuna Jirani yangu mmoja hapa kama nyumba ya tatu kutoka kwangu mke wake toka siku ya kwanza nilipokutana nae nakujua tupo jirani imekuwa kama device zimematch.
Hata ikitokea tukakutana njiani imekuwa ni mtihani kidogo kutokana na body language inavyokuwa,
Juzi kazi hapa walikuwa wanabariki ndoa yao kama Jirani nilishiriki vikao na nilikuwa mmoja wapo wa wanakamati siku ya sherehe ilikuwa balaa sana kwanza wakati muziki alitaka tucheze pamoja mbele ya mmewe japo sikupenda baada ya harusi amekuwa ananitumia sms mara Asante kwa kuwa pamoja mara anaomba tuonane kuna issue ya kuongea na Mie japo hataki mmewe ajue na hata sifaham namba yangu ameipata Wapi japo dizain flan na Mie nimemwelewa lakini nahofia mmewe na Mie wife lakini naona speed yake sio nzuri sana.
Naomba ushauri nimkwepe vipi huyu?
Niende moja kwa moja kwenye mada Mie nashukuru Mungu nimefanikiwa kupata Kibanda nje kidogo ya jiji la Bashite nimehamia kama mwaka sasa hapa,
Sasa kuna Jirani yangu mmoja hapa kama nyumba ya tatu kutoka kwangu mke wake toka siku ya kwanza nilipokutana nae nakujua tupo jirani imekuwa kama device zimematch.
Hata ikitokea tukakutana njiani imekuwa ni mtihani kidogo kutokana na body language inavyokuwa,
Juzi kazi hapa walikuwa wanabariki ndoa yao kama Jirani nilishiriki vikao na nilikuwa mmoja wapo wa wanakamati siku ya sherehe ilikuwa balaa sana kwanza wakati muziki alitaka tucheze pamoja mbele ya mmewe japo sikupenda baada ya harusi amekuwa ananitumia sms mara Asante kwa kuwa pamoja mara anaomba tuonane kuna issue ya kuongea na Mie japo hataki mmewe ajue na hata sifaham namba yangu ameipata Wapi japo dizain flan na Mie nimemwelewa lakini nahofia mmewe na Mie wife lakini naona speed yake sio nzuri sana.
Naomba ushauri nimkwepe vipi huyu?