Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Sasa unataka ushauriwe vipi hapa? Wewe ni mume wa mtu na yule ni mke wa mtu, tena jirani kabisa. Unashindwa kumkaripia na kumwambia amind hamsini zake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahyo tukufundishe kumblock au kubadili namba,,,, achana na mke wa mtu komaa na wakwako si unae??Nilichoomba ushauri maana sms zake ndio zenye ushawishi zaidi
Japo hataki mmeo ajue,acha fix kijana.Habari zenu wanajamvi,
Niende moja kwa moja kwenye mada Mie nashukuru Mungu nimefanikiwa kupata Kibanda nje kidogo ya jiji la Bashite nimehamia kama mwaka sasa hapa,
Sasa kuna Jirani yangu mmoja hapa kama nyumba ya tatu kutoka kwangu mke wake toka siku ya kwanza nilipokutana nae nakujua tupo jirani imekuwa kama device zimematch.
Hata ikitokea tukakutana njiani imekuwa ni mtihani kidogo kutokana na body language inavyokuwa,
Juzi kazi hapa walikuwa wanabariki ndoa yao kama Jirani nilishiriki vikao na nilikuwa mmoja wapo wa wanakamati siku ya sherehe ilikuwa balaa sana kwanza wakati muziki alitaka tucheze pamoja mbele ya mmewe japo sikupenda baada ya harusi amekuwa ananitumia sms mara Asante kwa kuwa pamoja mara anaomba tuonane kuna issue ya kuongea na Mie japo hataki mmewe ajue na hata sifaham namba yangu ameipata Wapi japo dizain flan na Mie nimemwelewa lakini nahofia mmewe na Mie wife lakini naona speed yake sio nzuri sana.
Naomba ushauri nimkwepe vipi huyu?
Hataki mme wake ajueJapo hataki mmeo ajue,acha fix kijana.
Hapana mie situmiagi ule mtandao pendwaUmeshaandaa KY
Ndio nina mke nashukuru kwa ushauri wakoKwahyo tukufundishe kumblock au kubadili namba,,,, achana na mke wa mtu komaa na wakwako si unae??
Hahahahahaha yaan wewe jamaa ni wa mkoani kabisa yaani haujui hata ananishawishi kufanyani nini!!!!!!Anakushawishi kufanya nini!? Yan wanaume wa mikoani mliovamia dar mnamambo nyie..