mbwana semsimbazi
Senior Member
- Sep 5, 2013
- 196
- 202
Kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia naona anagonga mlango wake karibu masaa mawili hivi wakati mlango anaogonga anaishi peke yake, kwa kuwa sipendagi ujinga nimetoka na kumwambia mwenyewe hayupo kasafiri ,kisha akajiondokea zake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]