Jirani yangu nilimwambia awafungie Ng'ombe wake waache kuniharibia shamba hakuskia, nimeamua kujilinda

Jirani yangu nilimwambia awafungie Ng'ombe wake waache kuniharibia shamba hakuskia, nimeamua kujilinda

Lugano Edom

Senior Member
Joined
Dec 2, 2021
Posts
122
Reaction score
186
jirani yangu nilimwambia awafungie Ngombe wake waache kuniharibia shamba hakuskia, nikatuma chief na mzee wa mitaa hakuskia, nikatuma baba yake mzazi hakuskia.

Mimi nikanunua dawa iko na sumu nikapiga mahindi yangu ndani ya shamba langu, kama kawaida wale ng'ombe wakakuja wakala na wakafa wote. Kuna makosa nimefanya....?
FB_IMG_1737485807302.jpg
 
jirani yangu nilimwambia awafungie Ngombe wake waache kuniharibia shamba hakuskia, nikatuma chief na mzee wa mitaa hakuskia, nikatuma baba yake mzazi hakuskia.

Mimi nikanunua dawa iko na sumu nikapiga mahindi yangu ndani ya shamba langu, kama kawaida wale ng'ombe wakakuja wakala na wakafa wote. Kuna makosa nimefanya....?
View attachment 3209335
Ubaya ubwela
 
jirani yangu nilimwambia awafungie Ngombe wake waache kuniharibia shamba hakuskia, nikatuma chief na mzee wa mitaa hakuskia, nikatuma baba yake mzazi hakuskia.

Mimi nikanunua dawa iko na sumu nikapiga mahindi yangu ndani ya shamba langu, kama kawaida wale ng'ombe wakakuja wakala na wakafa wote. Kuna makosa nimefanya....?
View attachment 3209335
Kosa lako ni kuua Ng'ombe badala ya mwenye Ng'ombe.
 
Unaomba ushauri baada ya kuua?
Ina maanisha nafasi inakuhukumu
 
Hujakosea, hicho kitendo ni sawa na kumfumania mkeo halafu umchinje na mjini wake, be the judge
 
Back
Top Bottom