Jirani yangu wa kike simuelewi kabisa

Jirani yangu wa kike simuelewi kabisa

Wadau hope mko poa
Mimi nimehamia nyumba ya kupanga hivi karibuni. Nyumba hii inawapangaji wengi vijana wakike na wakiume.

Sasa mpangaji ambaye chumba changu kimetazana na chake ni binti mrembo sana. Ni binti ambaye toka siku ya kwanza nimefika kwenye hii nyumba amekuwa akinichangamkia sana. Mimi nafanya kazi naondoka asubuhi sana na huwa nachelewa mno kurudi. Ananijali sana katika vitu vya kawaida, mfano anaweza kuniletea chakula, kuna siku ananisaidia kujaza maji kwenye ndoo nk. Siku zingine huniambia amekuwa pekee na anahitaji kampani basi nitaenda kwake tutaangalia movie nk. Kiufupi anajihisi furaha akiwa karibu nami, ndivyo anavyiniambia.

Najua ana mtu wake na kuna siku huyu jamaa yake alikuja. Ni kwamba huyu binti alikosa ule uchangamfu kipindi jamaaa yake yupo

Sasa juzi kati hapa kanifungukia kuwa ananipenda sana na anatamani kila muda awe karibu na mimi sababu anaona mimi ni mwanaume nisiye na mambo mengi yaani tabia ya kuwa na wanawake ovyo sina. Nilivymuhujoji kuhusu jamaa yake akadai ni hampdndi anajilazimisha. Na pia akasema jamaa yake ni mwanajeshi hivyo muda mwingi huwa anaenda nje ya nchi na amesha sema waachana ila jamaa king'ang'anizi

Kiufupi demu ni mzuri sana, ila sasa mimi simuelewi kabisa hasa ukizingatia najua ana mtu. Sipendi kumuharibia jamaa. Nimefika ring kodi ikiisha nihame kimya kuepuka hili. Kingine wanaume ambao tuko mbali na wake na wapenzi wetu tuwe makini asee.

Niamue kipi, nipotezee na kuhama au niibomoe hii mali?
Amekuvunjia barafu kazi kwako kuuchimba mgodi, wape namba wadau yk humu hahahaa
 
Fanya yote lakini usithubutu;

1. Kutembea na mwanamke mliopanga nyumba moja. Zigo la kodi yake na majukumu yote yake litakuwa lako na uhuru wako ndio bye bye.

2. Kuamini mwanamke anaekwambia hampendi bwana ake lakini yupo nae. Tena mjeda, utapigwa mbupu na maji kunyimwa.
Hii ya 2 aishike sana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ushasikia jamaa ake ni mjeda, afu wee bado unajiresi resii.
Kunae siku utaomba maji, na utapewa bapa cha chupa ya safari shavunii

Wee neng'enekaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Muulize vizuri kama huyo mwanajeshi sio Shabiki wa Ajax Amsterdam, kama sio basi endelea naye.
 
Sipendi kumuharibia jamaa. Nimefika ring kodi ikiisha nihame kimya kuepuka hili.
Ndio uzuri wa akili zetu Huwa na departments zote, vurugu,ushauri na ukichaa pia, sikiliza maoni ya hii department,ikiwezekana mpandishe cheo mkuu wake wa idara ,,fuata huu ushauri,
 
Wadau hope mko poa
Mimi nimehamia nyumba ya kupanga hivi karibuni. Nyumba hii inawapangaji wengi vijana wakike na wakiume.

Sasa mpangaji ambaye chumba changu kimetazana na chake ni binti mrembo sana. Ni binti ambaye toka siku ya kwanza nimefika kwenye hii nyumba amekuwa akinichangamkia sana. Mimi nafanya kazi naondoka asubuhi sana na huwa nachelewa mno kurudi. Ananijali sana katika vitu vya kawaida, mfano anaweza kuniletea chakula, kuna siku ananisaidia kujaza maji kwenye ndoo nk. Siku zingine huniambia amekuwa pekee na anahitaji kampani basi nitaenda kwake tutaangalia movie nk. Kiufupi anajihisi furaha akiwa karibu nami, ndivyo anavyiniambia.

Najua ana mtu wake na kuna siku huyu jamaa yake alikuja. Ni kwamba huyu binti alikosa ule uchangamfu kipindi jamaaa yake yupo

Sasa juzi kati hapa kanifungukia kuwa ananipenda sana na anatamani kila muda awe karibu na mimi sababu anaona mimi ni mwanaume nisiye na mambo mengi yaani tabia ya kuwa na wanawake ovyo sina. Nilivymuhujoji kuhusu jamaa yake akadai ni hampdndi anajilazimisha. Na pia akasema jamaa yake ni mwanajeshi hivyo muda mwingi huwa anaenda nje ya nchi na amesha sema waachana ila jamaa king'ang'anizi

Kiufupi demu ni mzuri sana, ila sasa mimi simuelewi kabisa hasa ukizingatia najua ana mtu. Sipendi kumuharibia jamaa. Nimefikiri kodi ikiisha nihame kimya kuepuka hili. Kingine wanaume ambao tuko mbali na wake na wapenzi wetu tuwe makini asee.

Niamue kipi, nipotezee na kuhama au niibomoe hii mali?
Akili kumkichwa wengine wanachinjana kwa hiyo mambo amua ama kusuka ama kunyoa,bomoa ama usibomoe,ila jua vyote vinaweza kuwa na matokeo.
 
Wadau hope mko poa
Mimi nimehamia nyumba ya kupanga hivi karibuni. Nyumba hii inawapangaji wengi vijana wakike na wakiume.

Sasa mpangaji ambaye chumba changu kimetazana na chake ni binti mrembo sana. Ni binti ambaye toka siku ya kwanza nimefika kwenye hii nyumba amekuwa akinichangamkia sana. Mimi nafanya kazi naondoka asubuhi sana na huwa nachelewa mno kurudi. Ananijali sana katika vitu vya kawaida, mfano anaweza kuniletea chakula, kuna siku ananisaidia kujaza maji kwenye ndoo nk. Siku zingine huniambia amekuwa pekee na anahitaji kampani basi nitaenda kwake tutaangalia movie nk. Kiufupi anajihisi furaha akiwa karibu nami, ndivyo anavyiniambia.

Najua ana mtu wake na kuna siku huyu jamaa yake alikuja. Ni kwamba huyu binti alikosa ule uchangamfu kipindi jamaaa yake yupo

Sasa juzi kati hapa kanifungukia kuwa ananipenda sana na anatamani kila muda awe karibu na mimi sababu anaona mimi ni mwanaume nisiye na mambo mengi yaani tabia ya kuwa na wanawake ovyo sina. Nilivymuhujoji kuhusu jamaa yake akadai ni hampdndi anajilazimisha. Na pia akasema jamaa yake ni mwanajeshi hivyo muda mwingi huwa anaenda nje ya nchi na amesha sema waachana ila jamaa king'ang'anizi

Kiufupi demu ni mzuri sana, ila sasa mimi simuelewi kabisa hasa ukizingatia najua ana mtu. Sipendi kumuharibia jamaa. Nimefikiri kodi ikiisha nihame kimya kuepuka hili. Kingine wanaume ambao tuko mbali na wake na wapenzi wetu tuwe makini asee.

Niamue kipi, nipotezee na kuhama au niibomoe hii mali?
Tafuta kwanza Gono afu ndo umuache
 
Muulize huyo mwanajeshi wake kama binti anakupenda au la. Utapata majibu sahihi.
 
Fanya yote lakini usithubutu;

1. Kutembea na mwanamke mliopanga nyumba moja. Zigo la kodi yake na majukumu yote yake litakuwa lako na uhuru wako ndio bye bye.

2. Kuamini mwanamke anaekwambia hampendi bwana ake lakini yupo nae. Tena mjeda, utapigwa mbupu na maji kunyimwa.
Asipoelewa hapa ndo basi tena
 
Usichoelewa ni kipi hapo ww acha kutufanya wajinga,Kam sio tamaa ni nn?ckia hebu vaa uhucka wa huyo mjeda hpo utapat jb kamil.vingnevyo tunategemea connection nyngine mitandaon
 
Back
Top Bottom