Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Mama bembelaaaaa[emoji24][emoji24][emoji24]
 
sophy27 Lucha Shunie Lovelovie Jane Msowoya Watu8 Valentina Depal
Firdaus9
 
Half american njoo hapa
 
RIP bembela
 
Tarimo alipona mkuu?
 
@
@
Tayukwa
 
Keep on Sharing your talent Bro!
Si wote tuna Karama kama yako!
Haiwezekani kumfurahisha kila Mtu.
Kitu kimoja ni kweli kwamba, Kumpa Furaha binadamu mwenzako tena bure hata kama ni mmoja unapata thawabu kubwa!
Take your time! Tupo hapa tunasubiri!
Barikiwa!
 
Baadae usiku, nitajitahidi tuendelee.
Ila punguza kupuuza mawazo ya wachangiaji sasa hivi tunaenda tu kama ng'ombe na hizi story zako kwani tangu uanze kutoa hivyo vi bonus imekua ni ku bahatisha tu ,Tafadhali endelea mtindo wa Episode wa namba
 
Ila punguza kupuuza mawazo ya wachangiaji sasa hivi tunaenda tu kama ng'ombe na hizi story zako kwani tangu uanze kutoa hivyo vi bonus imekua ni ku bahatisha tu ,Tafadhali endelea mtindo wa Episode wa namba
Endelea wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…