Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua li Big lime dead
Dogo janja vipi ,huoni kama anazingua kisha anajizingua pia nae? Mimi nimemshauri aifanye kazi yake ki smart zaidi kwa kuzipa namba episode zake kama hapo mwanzo,Endelea wewe
Mbona umecheka Anne!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole sana scrow kuanzia chini kwenda juu. Kingine weka notification on.Jamani Mimi nineishia namba sita naomba mwenye kujua namba Saba na kuendelea nazipata wapi? Msaada tafadhari [emoji120]
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Mkuu nenda post ya kwanza kabisa kule juu na sijui unatumia app au browser kama ni app inakua rahisi zaidi. Ukifika post ya kwanza scrow hadi chini utaona link ya episode inayofuta endelea hivyo hivyo hadi ukute episode ambayo hujaisoma.Jamani Mimi nineishia namba sita naomba mwenye kujua namba Saba na kuendelea nazipata wapi? Msaada tafadhari [emoji120]
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Amegoma kuendelea? 🤷♂️
Nahisi shangazi kaenda na majiHasa shangazi yake [emoji848]
Amesema baadaeAmegoma kuendelea? [emoji2369]
NgumuItakua li Big lime dead
AiseeDah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mambo kama ya kule kwa Muraa yameanza
Nakusemea kwa boss unatumia internet ya ofisi kuperuz[emoji125][emoji125][emoji125]Mzee uandishi wako ni mzuri ndio maana watu wanaleta kelele mingi hapa, chakufanya wewe andika ukipata muda na sisi tutasoma tu kwasababu anaeijua hii story ni wewe. Usikubali watu na comments zao waanze kukulazimisha kufanya kitu ambacho hujadhamiria kaka. sisi tutasubiri tu, tunaingia ofisini tunacheki kama umeendelea kama bado tutasubiri tu na tukifika nyumbani tutacheki kwenye simu zetu kama umeendelea but kama bado wewe take your time na ufanye mambo yako then ukipata muda tuandikie tu cz tunasubiri kiongozi.
Najua vile arosto inavotesaTunajua itashushwa Valentina ila kama unajua nafasi yako ni ya shida kutokana na mihangaiko mingine inakuwaje unaleta uongo kuwa utashusha stori baadae kisha unapotea?,tena unasema utashusha usiku mkali,wajuba hawalali wanasikilizia huo usiku mkali kisha hola,kwa nn asipige kimya tu hadi atakapopata nafasi