Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida


Demi
 
Half american
 
Kinachonishangaza ni the way huo msiba umechukuliwa,hamna hata jirani amehudhuria msiba au hio maiti ya huyo mtoto imetolewa kwa mazingira gani hapo nyumbani?[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Kinachonishangaza ni the way huo msiba umechukuliwa,hamna hata jirani amehudhuria msiba au hio maiti ya huyo mtoto imetolewa kwa mazingira gani hapo nyumbani?[emoji848][emoji848][emoji848]
Soma vizuri. Sio nyumbani, ni kule mochwari ulipohifadhiwa haukuonekana tena sio kwa mtunza maiti wala daktari aliyejua umeenda wapi. atlas copco
 
Dah! Wakwetu unaimalizaje hii series ya mwamba BIGI kinyonge hivyo...

Halafu mbona kwenye hii episode ya 12 sijaona ulipogusia hali yako au ndio ulipona kimyakimya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ SteveMollel miyeyusho sana wakwetu...

Lkn nakubali ungaunga yako bado haijapoteza ladha...Mziki mnene naona maajabu hadi mwili wa Dogo zezeta ukadisappear mochwari πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na kusepa na hamsini zake....

Wacha tuone what will be in the next episode
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…