Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Heh mm Ni upinde ?bas baba ako ndio nashiriki nae ushoga

Unakimbilia kurafuta viemoji vya upinde[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] muulize Bab Jana alikuwa na Nani
Vitoto vikishajuwa kupumuliwa vizogoni vinakuwa visumbufu Sanaa

Wee unibabaishi na upinde wako

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Pole sana; ma bush Kuna vitu vingi Sana.( Ndomana ukienda sehemu yeyote ile hasa ambako ni mgeni usijifanye mjuaji na borntown utaangamia dakika sifuri na kikubwa tengeneza network na wazee wa eneo husika hakika utapunguza baadhi ya hatari
Network na wachawi?lazima wakuonje tu unadhan wanajua utu hao?
 
i.Ulipona taya?
2.Bwana tarimo alipona,?
3.Mkeo na ujauzito wake alijifungua salama?
4.Kijana wako ulokuta nguo zake kwenye fuko la big anaendeleaje?
5.Kinacho kufanya uendelee kukaa hapo ni nini na majanga yote hayo?
6.Chumba cha big kilipata mteja?
Alipona taya ingawa hakujua kilichomponyesha ni nini!
Bwana tarimo hakusema Tena habari zake pengine alipona

Mkewe ujauzito ulitoka
Kijana wake na mkewe wote wazima
Nyumba alishahama kuhusu chumba cha big kupata mpangaji hajaongelea tena
 
Chondechonde naomba kwenye tag list niwepo
 
Hongera sana kwa story nzur bro pia hongera kwa kuoa Ugweno though sijajua wife katokea Kifula,Mwaniko,Vuchama,Mangio,Masumbeni,Msangeni,Kikweni,Mriti,Kivisini au Butu na Kambiasimba,ila mpe hi sana
 
Alipona taya ingawa hakujua kilichomponyesha ni nini!
Bwana tarimo hakusema Tena habari zake pengine alipona

Mkewe ujauzito ulitoka
Kijana wake na mkewe wote wazima
Nyumba alishahama kuhusu chumba cha big kupata mpangaji hajaongelea tena
Asante sana. Kuna episode nitakuwa sijasoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…