Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Story imeisha isha tu kizembe! Japo niliisoma mpaka mwisho! Ila najikuta nimerudi tena! Hamna hata kidokezo!
 
Mimi sina damu ya wachawi aisee na ndio maana huwa wananipitia mbali ingawa kisa ninacho


Ukiwa na damu ya wachawi utateseka mpaka kufa kwako
Mkuu Hebu fafanua kidogo hapo kwenye damu ya wachawi, maana Kila nyumba niliyohamia nilikutana na wachawi na walinitesa sana!! Mpaka sasa nipo home napo nimebaini jilani yangu mchawi sana. Yaani nyumba yetu kaigeuza kama yake.

Kuna siku nilikaa nikajiuliza??? kwanini Mimi Kila mahala ninapotua na kuweka makazi basi kama Kuna mchawi mahala hapo nageuka kuwa kitoweo chake.
 
Mkuu Hebu fafanua kidogo hapo kwenye damu ya wachawi, maana Kila nyumba niliyohamia nilikutana na wachawi na walinitesa sana!! Mpaka sasa nipo home napo nimebaini jilani yangu mchawi sana. Yaani nyumba yetu kaigeuza kama yake.

Kuna siku nilikaa nikajiuliza??? kwanini Mimi Kila mahala ninapotua na kuweka makazi basi kama Kuna mchawi mahala hapo nageuka kuwa kitoweo chake.
Una wenge. Hamna wachawi wanaokusakama.
 
One mistake mkuu kesho uje usimulie ilikuaje ukaona live mtu anapita mlangoni na mlango umefungwa au kumuona wa sura yako kama ulivo na hamko mapacha!!
Na siyo tu kumuona anapita mlangoni bila kufunguliwa Bali hata nipoenda kubisha hodi ktk kile chumba sauti iliyotoka mle siyo ya wahusika Bali ilitoka sauti ya yule msichana
 
Duhhhh! Hatari sana hio
Sijui aliwapumbaza? Mwishowe eti jamaa mwenye kile chumba akatoka nakuanza kunikolomea eti wewe unataka Nini usiku wote huu? Nikamwambia kwanza samahani hivi mkeo alitoka kwenda chooni? Jamaa akasema hapana, nikamwambia nimemuona mtu ameingia humu ndani Tena ni msichana amevaa nguo ya kaniki pia nikamwambia hata chumbani kwangu nahisi kuna kitu kwani chumba nikizito sana na Kuna halufu za ajabu ajabu, naomba twende ukashuhudie, yule jamaa alinijibu kwa upole kwa kulitaja jina langu" saizi usiku sana wee Nenda kalale sawa, tutaongea kesho" Kisha akafunga mlango chaajabu akili ikaanza kunijia kumbe yule niliyekua naongea naye siyo muhusika wa kile chumba Bali alikuwa ni yule binti alijigeuza na kuvaa umbo la yule jamaa, Ambae ndiye aliyekua muhusika wa kile chumba na alikuwa anaishi na mkewe, aisee kiukweli sitakuja kuusahau usiku ule, kwani niliogopa kuingia chumbani kwangu kulala ingawa baadae wapangaji wenzangu baadhi walitoka nje na wote waliotoka walikuwa wanawake, then nikawahadithia lile tukio, Kuna dada mmoja alisikika akisema" ndiyo maana mwanangu amekua analia muda wote" nakweli kabla ya Mimi kutoka nje nikweli nilisikia yule mtoto analia na ndiyo kitu kilichonitoa ndani na Lengo nilitaka nikamwambie yule mama Ambae mtoto wake alilia kwa muda mure, ampake Kitunguu saumu kwenye Paji la uso. Hii dawa nilifundishwa na Mshana Jr Mshana J.

Sasa nilipotoka ndipo nikagumiana na yule binti then akabadili rout na kwenda kuingia kile chumba ambacho hakikua cha kwao.

Basi ilibidi tusambaratike wao walinisisitiza niende nikalale kwani mpaka muda huo ilikuwa saa tisa(9).
Kiukweli niliogopa sana kuingia ndani ilinibidi nibaki nje pale pale Huku nikiwa nalandalanda mpaka majira ya saa kumi na moja(11) ndipo nikaingia ndani kiujasiri nikachukua hela ya kula kazini Kisha nduki

Sasa nikiwa natembea barabarani na kulikuwa kumepambazuka muda huo yaani kweupe, ghafla nikawa najihisi ni mwepesi sana kiasi kwamba nikawa naelea juu ya ardhi, jamani hii Dunia Kuna watu wanaujua uchawi aisee, basi ghafla nikajikuta nasinzia Huku natembea yaani usingizi mzito ukanivagaa Huku natembea

Kiukweli ni Mungu tuu alinilinda kwani uwezekano wa kugongwa na gari ulikuwa Mkubwa sana ni Mungu alinilinda, na nahisi walitaka kuniua kwa njia ile ili Siri isivuje waliamini kuendelea kuwepo ktk Yale mazingira wasingeishi kwa amani, kwani walishajua nimejua kuwa wao ni wachawi hivyo walitaka waniangamize ingawa ilishindikana,

Walikuwa waha wa kigoma, alikuwa mama wa Makamo Ambae alikuwa na watoto wakike watatu Huyu mmoja alikuwa anasoma, wengine wawili alikuwa anasaidiana nao kufanya ile biashara yake na ktk hao wawili mmoja ndiye kafundishwa uchawi na ndiye alikuwa anawatesa watu kwenye Yale mabanda.

Ghafla nilijikuta nguvu zinarudi na ule usingizi ukakata yaani nikawa nipo kawaida kama siku zote ingawa nilipofika kazini Kuna vitu vilijitokeza

Na niseme kwa tukuo lile lilikuja kunisababishia matatizo makubwa sana mpaka sasa yananitesa nimehangaika kwa waganga baadhi nakushindwa kunitatulia.........

Mkuu nikipata wasaa nami nitakuja kuupolomosha huu mkasa" KILA NYUMBA NILIYOHAMIA NILIKUTANA NA MAUZAUZA YA WACHAWI"
 
Huu uzi ni mfu kwangu!
JamiiForums355500944.jpg
 
Mkuu Hebu fafanua kidogo hapo kwenye damu ya wachawi, maana Kila nyumba niliyohamia nilikutana na wachawi na walinitesa sana!! Mpaka sasa nipo home napo nimebaini jilani yangu mchawi sana. Yaani nyumba yetu kaigeuza kama yake.

Kuna siku nilikaa nikajiuliza??? kwanini Mimi Kila mahala ninapotua na kuweka makazi basi kama Kuna mchawi mahala hapo nageuka kuwa kitoweo chake.
Watakua washa kupiga mhuri wao wewe kila utapo enda .wana jua ni mtu wao[emoji81][emoji81]
 
Sijui aliwapumbaza? Mwishowe eti jamaa mwenye kile chumba akatoka nakuanza kunikolomea eti wewe unataka Nini usiku wote huu? Nikamwambia kwanza samahani hivi mkeo alitoka kwenda chooni? Jamaa akasema hapana, nikamwambia nimemuona mtu ameingia humu ndani Tena ni msichana amevaa nguo ya kaniki pia nikamwambia hata chumbani kwangu nahisi kuna kitu kwani chumba nikizito sana na Kuna halufu za ajabu ajabu, naomba twende ukashuhudie, yule jamaa alinijibu kwa upole kwa kulitaja jina langu" saizi usiku sana wee Nenda kalale sawa, tutaongea kesho" Kisha akafunga mlango chaajabu akili ikaanza kunijia kumbe yule niliyekua naongea naye siyo muhusika wa kili chumba Bali alikuwa ni yule binti alijigeuza na kuvaa umbo la yule jamaa, Ambae ndiye aliyekua muhusika wa kile chumba na alikuwa anaishi na mkewe, aisee kiukweli sitakuja kuusahau usiku ule, kwani niliogopa kuingia chumbani kwangu kulala ingawa baadae wapangaji wenzangu baadhi walitoka nje then nikawahadithia lile tukio, Kuna dada mmoja alisikika akisema" ndiyo maana mwanangu analia muda wote" nakweli kabla ya Mimi kutoka nje nikweli nilisikia yule mtoto analia.

Hata nilipotoka ndipo nikagumiana na yule binti then akabadili rout na kwenda kuingia kile chumba ambacho hakikua cha kwao.

Basi ilibidi tusambaratike wao walinisisitiza niende nikalale kwani mpaka muda huo ilikuwa saa tisa(9).
Kiukweli niliogopa sana kuingia ndani ilinibidi nibaki nje pale pale Huku nikiwa nalandalanda mpaka majira ya saa kumi na moja(11) ndipo nikaingia ndani kiujasiri nikachukua hela ya kula kazini Kisha nduki

Sasa nikiwa natembea barabarani na kulikuwa kumepambazuka muda huo yaani kweupe, ghafla nikawa najihisi ni mwepesi sana kiasi kwamba nikawa naelea juu ya ardhi, jamani hii Dunia Kuna watu wanaujua uchawi aisee, basi ghafla nikajikuta nasinzia Huku natembea yaani usingizi mzito ukanivagaa Huku natembea

Kiukweli ni Mungu tuu alinilinda kwani uwezekano wa kugongwa na gari ulikuwa Mkubwa sana ni Mungu alinilinda, na nahisi walitaka kuniua kwa njia ile ili Siri isivuje waliamini kuendelea kuwepo ktk Yale mazingira wasingeishi kwa amani, kwani walishajua nimejua kuwa wao ni wachawi hivyo walitaka waniangamize ingawa ilishindikana,

Walikuwa waha wa kigoma, alikuwa mama wa Makamo Ambae alikuwa na watoto wakike watatu Huyu mmoja alikuwa anasoma, wengine wawili ailikuwa anasaiana nao kufanya ile biashara yake na ktk hao wawili mmoja ndiye kafundishwa uchawi na ndiye alikuwa anawatesa watu kwenye Yale mabanda.

Ghafla nilijikuta nguvu zinanirudia na ule usingizi ukakata yaani nikawa nipo kawaida kama siku zote ingawa nilipofika kazini Kuna vitu vilijitokeza

Na niseme kwa tukuo lile lilikuja kunisababishia matatizo makubwa sana mpaka sasa yananitesa nimehangaika kwa waganga baadhi nakushindwa kunitatulia.........

Mkuu nikipata wasaa nami nitakuja kuupolomosha huu mkasa" KILA NYUMBA NILIYOHAMIA NILIKUTANA NA MAUZAUZA YA WACHAWI"
Duuu noma sana, tuwekee hii story tujifunze na sisi mbona balaa sana
 
Sijui aliwapumbaza? Mwishowe eti jamaa mwenye kile chumba akatoka nakuanza kunikolomea eti wewe unataka Nini usiku wote huu? Nikamwambia kwanza samahani hivi mkeo alitoka kwenda chooni? Jamaa akasema hapana, nikamwambia nimemuona mtu ameingia humu ndani Tena ni msichana amevaa nguo ya kaniki pia nikamwambia hata chumbani kwangu nahisi kuna kitu kwani chumba nikizito sana na Kuna halufu za ajabu ajabu, naomba twende ukashuhudie, yule jamaa alinijibu kwa upole kwa kulitaja jina langu" saizi usiku sana wee Nenda kalale sawa, tutaongea kesho" Kisha akafunga mlango chaajabu akili ikaanza kunijia kumbe yule niliyekua naongea naye siyo muhusika wa kili chumba Bali alikuwa ni yule binti alijigeuza na kuvaa umbo la yule jamaa, Ambae ndiye aliyekua muhusika wa kile chumba na alikuwa anaishi na mkewe, aisee kiukweli sitakuja kuusahau usiku ule, kwani niliogopa kuingia chumbani kwangu kulala ingawa baadae wapangaji wenzangu baadhi walitoka nje then nikawahadithia lile tukio, Kuna dada mmoja alisikika akisema" ndiyo maana mwanangu analia muda wote" nakweli kabla ya Mimi kutoka nje nikweli nilisikia yule mtoto analia.

Hata nilipotoka ndipo nikagumiana na yule binti then akabadili rout na kwenda kuingia kile chumba ambacho hakikua cha kwao.

Basi ilibidi tusambaratike wao walinisisitiza niende nikalale kwani mpaka muda huo ilikuwa saa tisa(9).
Kiukweli niliogopa sana kuingia ndani ilinibidi nibaki nje pale pale Huku nikiwa nalandalanda mpaka majira ya saa kumi na moja(11) ndipo nikaingia ndani kiujasiri nikachukua hela ya kula kazini Kisha nduki

Sasa nikiwa natembea barabarani na kulikuwa kumepambazuka muda huo yaani kweupe, ghafla nikawa najihisi ni mwepesi sana kiasi kwamba nikawa naelea juu ya ardhi, jamani hii Dunia Kuna watu wanaujua uchawi aisee, basi ghafla nikajikuta nasinzia Huku natembea yaani usingizi mzito ukanivagaa Huku natembea

Kiukweli ni Mungu tuu alinilinda kwani uwezekano wa kugongwa na gari ulikuwa Mkubwa sana ni Mungu alinilinda, na nahisi walitaka kuniua kwa njia ile ili Siri isivuje waliamini kuendelea kuwepo ktk Yale mazingira wasingeishi kwa amani, kwani walishajua nimejua kuwa wao ni wachawi hivyo walitaka waniangamize ingawa ilishindikana,

Walikuwa waha wa kigoma, alikuwa mama wa Makamo Ambae alikuwa na watoto wakike watatu Huyu mmoja alikuwa anasoma, wengine wawili ailikuwa anasaiana nao kufanya ile biashara yake na ktk hao wawili mmoja ndiye kafundishwa uchawi na ndiye alikuwa anawatesa watu kwenye Yale mabanda.

Ghafla nilijikuta nguvu zinanirudia na ule usingizi ukakata yaani nikawa nipo kawaida kama siku zote ingawa nilipofika kazini Kuna vitu vilijitokeza

Na niseme kwa tukuo lile lilikuja kunisababishia matatizo makubwa sana mpaka sasa yananitesa nimehangaika kwa waganga baadhi nakushindwa kunitatulia.........

Mkuu nikipata wasaa nami nitakuja kuupolomosha huu mkasa" KILA NYUMBA NILIYOHAMIA NILIKUTANA NA MAUZAUZA YA WACHAWI"
Aisee hiv vitu usikiage tu huko kwngne sio vikukute maana kha.Pole mkuu Usimuache Bwana wetu Yesu Kristo
 
Sijui aliwapumbaza? Mwishowe eti jamaa mwenye kile chumba akatoka nakuanza kunikolomea eti wewe unataka Nini usiku wote huu? Nikamwambia kwanza samahani hivi mkeo alitoka kwenda chooni? Jamaa akasema hapana, nikamwambia nimemuona mtu ameingia humu ndani Tena ni msichana amevaa nguo ya kaniki pia nikamwambia hata chumbani kwangu nahisi kuna kitu kwani chumba nikizito sana na Kuna halufu za ajabu ajabu, naomba twende ukashuhudie, yule jamaa alinijibu kwa upole kwa kulitaja jina langu" saizi usiku sana wee Nenda kalale sawa, tutaongea kesho" Kisha akafunga mlango chaajabu akili ikaanza kunijia kumbe yule niliyekua naongea naye siyo muhusika wa kili chumba Bali alikuwa ni yule binti alijigeuza na kuvaa umbo la yule jamaa, Ambae ndiye aliyekua muhusika wa kile chumba na alikuwa anaishi na mkewe, aisee kiukweli sitakuja kuusahau usiku ule, kwani niliogopa kuingia chumbani kwangu kulala ingawa baadae wapangaji wenzangu baadhi walitoka nje then nikawahadithia lile tukio, Kuna dada mmoja alisikika akisema" ndiyo maana mwanangu analia muda wote" nakweli kabla ya Mimi kutoka nje nikweli nilisikia yule mtoto analia.

Hata nilipotoka ndipo nikagumiana na yule binti then akabadili rout na kwenda kuingia kile chumba ambacho hakikua cha kwao.

Basi ilibidi tusambaratike wao walinisisitiza niende nikalale kwani mpaka muda huo ilikuwa saa tisa(9).
Kiukweli niliogopa sana kuingia ndani ilinibidi nibaki nje pale pale Huku nikiwa nalandalanda mpaka majira ya saa kumi na moja(11) ndipo nikaingia ndani kiujasiri nikachukua hela ya kula kazini Kisha nduki

Sasa nikiwa natembea barabarani na kulikuwa kumepambazuka muda huo yaani kweupe, ghafla nikawa najihisi ni mwepesi sana kiasi kwamba nikawa naelea juu ya ardhi, jamani hii Dunia Kuna watu wanaujua uchawi aisee, basi ghafla nikajikuta nasinzia Huku natembea yaani usingizi mzito ukanivagaa Huku natembea

Kiukweli ni Mungu tuu alinilinda kwani uwezekano wa kugongwa na gari ulikuwa Mkubwa sana ni Mungu alinilinda, na nahisi walitaka kuniua kwa njia ile ili Siri isivuje waliamini kuendelea kuwepo ktk Yale mazingira wasingeishi kwa amani, kwani walishajua nimejua kuwa wao ni wachawi hivyo walitaka waniangamize ingawa ilishindikana,

Walikuwa waha wa kigoma, alikuwa mama wa Makamo Ambae alikuwa na watoto wakike watatu Huyu mmoja alikuwa anasoma, wengine wawili ailikuwa anasaiana nao kufanya ile biashara yake na ktk hao wawili mmoja ndiye kafundishwa uchawi na ndiye alikuwa anawatesa watu kwenye Yale mabanda.

Ghafla nilijikuta nguvu zinanirudia na ule usingizi ukakata yaani nikawa nipo kawaida kama siku zote ingawa nilipofika kazini Kuna vitu vilijitokeza

Na niseme kwa tukuo lile lilikuja kunisababishia matatizo makubwa sana mpaka sasa yananitesa nimehangaika kwa waganga baadhi nakushindwa kunitatulia.........

Mkuu nikipata wasaa nami nitakuja kuupolomosha huu mkasa" KILA NYUMBA NILIYOHAMIA NILIKUTANA NA MAUZAUZA YA WACHAWI"
Duuuuuhhhh 😳😳😳! Pole sana mkuu kiukweli wachawi wanatesa sanaa! Itakua kuna jitu walifufanyia Kutokana na wewe kuwafahamu!!!
Ukitulia utushushie mkasa mzima!!
 
Duuuuuhhhh [emoji15][emoji15][emoji15]! Pole sana mkuu kiukweli wachawi wanatesa sanaa! Itakua kuna jitu walifufanyia Kutokana na wewe kuwafahamu!!!
Ukitulia utushushie mkasa mzima!!
Yaani light ningejua Bora ningehama tuu!! Manaake dk za mwisho walichokuja kunifanyia, nimeteseka sana na mpaka sasa nateseka nacho. Yaani kwakifupi walitaka niwe chizi na walifanikiwa, sema nikawa najizuia sana
 
Back
Top Bottom