Smart AJ
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 5,564
- 5,884
Bado mtoto mdogo ukikua utaelewaUsitafute wa kumpa lawama,,ulevi wa mtu ni matatizo yake mwenyewe,,
Wala usihushe yeyote.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado mtoto mdogo ukikua utaelewaUsitafute wa kumpa lawama,,ulevi wa mtu ni matatizo yake mwenyewe,,
Wala usihushe yeyote.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Mkuu mzigo bado?Usijali, kaka. Kaa tenge.
AtukumbukeMkuu mzigo bado?
Uzi umevamiwa na vibwengo.
Kwenye fictional literature kuna minor (secondary) character ambaye yeye yupo kusaidia main character na kusaidia kusukuma plot events forward.
For that case mke wa jamaa ni minor character ambavyo kimsingi minor character si lazima kuhusishwa/kutajwatajwa kwenye matukio ni endapo tu inabidi kumhusisha.
Ndicho anachokifanya bwana SteveMollel.
Umeshajua ana familia, period. Utaona mke wake na mtoto baadaye maana hawa ni supporting characters hawana kipaumbele kwenye matukio, kama kuhusika (kutajwa) watahusika (watatajwa) kwenye plots za muhimu
Nadhani watu wengi humu si wenye kupenda kusoma vitabu vya hadithi/novels na kuelewa, lengo la muandishi ni kuelezea nini? Nashauri watu warudie kusoma kichwa cha habari.Uzi umevamiwa na vibwengo.
Kwenye fictional literature kuna minor (secondary) character ambaye yeye yupo kusaidia main character na kusaidia kusukuma plot events forward.
For that case mke wa jamaa ni minor character ambavyo kimsingi minor character si lazima kuhusishwa/kutajwatajwa kwenye matukio ni endapo tu inabidi kumhusisha.
Ndicho anachokifanya bwana SteveMollel.
Umeshajua ana familia, period. Utaona mke wake na mtoto baadaye maana hawa ni supporting characters hawana kipaumbele kwenye matukio, kama kuhusika (kutajwa) watahusika (watatajwa) kwenye plots za muhimu tu.
It's a mystery, na ndiyo inapendezesha na kutia hamu ya kusoma story. Kama wewe ni mpenda kusoma hadithi/novels za mystery/crime and investigation, utakuwa umenipata. Vitu vingine inabidi viwekwe mpaka mwisho ili na wewe upate hamasa ya kuendelea kusoma, kufikiri zaidi.Napenda story ila nimechoka
Tuweke wazi Bigi mgangaa ama muuaji
Mxxiew
NaelewaIt's a mystery, na ndiyo inapendezesha na kutia hamu ya kusoma story. Kama wewe ni mpenda kusoma hadithi/novels za mystery/crime and investigation, utakuwa umenipata. Vitu vingine inabidi viwekwe mpaka mwisho ili na wewe upate hamasa ya kuendelea kusoma, kufikiri zaidi.
Mzee ulirudi bongoMambo kama hizi zilinifanya mimi nikaachana na story yangu ‘Nilivyokwenda South Africa bila kuwa na ndugu wala rafiki kule’
Watu humu wana ujuaji mwingi wakati mtu anaelezea story ya kweli ya maisha yake
Nimecheka sanaSarafu za 50 zikiwa 1 ml unabeba kwa Guta...
[emoji16][emoji16][emoji16]Msimlaumu mleta story, shughuli zake za kuwapa watu lift zinamfanya anachoka sana.View attachment 2512464
Tufanyeje broo tuoengeze masikuNimecheka sana
Sasa maisha ya aina hiyo yana raha gani? Unakuwa kama mfungwa tu.Mbona haya tunayo kila siku. Na yapo dunia nzima. Nakumbuka nilishawahi kuishi sehemu moja hapa dar. Jamaa ana watoto mapacha wawili wana kama ten years na hawajawahi kutembea. Siku ukisikia ndani kwake huko gorofani wanalia usiku mzima. Basi kuanzia kesho biashara zake ni full neema. Na mke ni marufuku kutoka nje ya geti. Iwe msiba wala sherehe.
Uttoh ukienda nje tuwasiliane nna issue flani.Wewe unajuaje kuwa hana Fursa? Hembu soma hadithi enjoy, then Tulia