Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Nadhani watu wengi humu si wenye kupenda kusoma hadithi za kwenye vitabu/novels kwahiyo hawajui hata story ina lenga nini. Nashauri watu wangerudi kwenye kichwa cha habari ya story
 
Uzi umevamiwa na vibwengo.

Kwenye fictional literature kuna minor (secondary) character ambaye yeye yupo kusaidia main character na kusaidia kusukuma plot events forward.
For that case mke wa jamaa ni minor character ambavyo kimsingi minor character si lazima kuhusishwa/kutajwatajwa kwenye matukio ni endapo tu inabidi kumhusisha.
Ndicho anachokifanya bwana SteveMollel.
Umeshajua ana familia, period. Utaona mke wake na mtoto baadaye maana hawa ni supporting characters hawana kipaumbele kwenye matukio, kama kuhusika (kutajwa) watahusika (watatajwa) kwenye plots za muhimu

Uzi umevamiwa na vibwengo.

Kwenye fictional literature kuna minor (secondary) character ambaye yeye yupo kusaidia main character na kusaidia kusukuma plot events forward.
For that case mke wa jamaa ni minor character ambavyo kimsingi minor character si lazima kuhusishwa/kutajwatajwa kwenye matukio ni endapo tu inabidi kumhusisha.
Ndicho anachokifanya bwana SteveMollel.
Umeshajua ana familia, period. Utaona mke wake na mtoto baadaye maana hawa ni supporting characters hawana kipaumbele kwenye matukio, kama kuhusika (kutajwa) watahusika (watatajwa) kwenye plots za muhimu tu.
Nadhani watu wengi humu si wenye kupenda kusoma vitabu vya hadithi/novels na kuelewa, lengo la muandishi ni kuelezea nini? Nashauri watu warudie kusoma kichwa cha habari.
 
Napenda story ila nimechoka
Tuweke wazi Bigi mgangaa ama muuaji
Mxxiew
It's a mystery, na ndiyo inapendezesha na kutia hamu ya kusoma story. Kama wewe ni mpenda kusoma hadithi/novels za mystery/crime and investigation, utakuwa umenipata. Vitu vingine inabidi viwekwe mpaka mwisho ili na wewe upate hamasa ya kuendelea kusoma, kufikiri zaidi.
 
It's a mystery, na ndiyo inapendezesha na kutia hamu ya kusoma story. Kama wewe ni mpenda kusoma hadithi/novels za mystery/crime and investigation, utakuwa umenipata. Vitu vingine inabidi viwekwe mpaka mwisho ili na wewe upate hamasa ya kuendelea kusoma, kufikiri zaidi.
Naelewa
Japo some forms of suspense ni pure kero msomaji naweza acha
Suspense iwepo bt twende mbele
 
Mbona haya tunayo kila siku. Na yapo dunia nzima. Nakumbuka nilishawahi kuishi sehemu moja hapa dar. Jamaa ana watoto mapacha wawili wana kama ten years na hawajawahi kutembea. Siku ukisikia ndani kwake huko gorofani wanalia usiku mzima. Basi kuanzia kesho biashara zake ni full neema. Na mke ni marufuku kutoka nje ya geti. Iwe msiba wala sherehe.
Sasa maisha ya aina hiyo yana raha gani? Unakuwa kama mfungwa tu.
 
IMGJ_9771.jpg
 
Back
Top Bottom