Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida



Pamoja na story kuvutia kumsahau mkewe katika story hiyo ilikuwa ni moja ya mapungufu makubwa katika hiyo story, unakumbuka kipindi wapangaji walipoweka kikao na baba mwenye nyumba??-- Wakati huo mke wa Bigi saa zote alikuwa kamkazia macho Mollel, watu tulihoji akilini mke wa Mollel wakati huo alikuwa wapi??, kwa utoaji wa macho wa mke wa Big kwa mollel je mke wa Big alikuwa anatupa agenda ya mapenzi kwa Molel akijua kwamba Mollel alikuwa single ??-- Maswali mengi yalikuwa yanaibuka kutokuwepo mke wake toka mwanzo wa story.

Tukubali kwamba mke wa molel kukosekana mwanzoni mwa story kwa mazingira ya story yalivyo ni mapungufu, nadhani kwa umahiri wake Molel anaweza kulifanyia kazi jambo hilo next time in case the story is to be published.
 
Jamani ee kwenye fasihi Kuna wahusika wakuu na wahusika napa mhusika bapa anaweza akaonekana maramoja tu kwenye stori, mhusika wetu mkuu hapa ni Big na ndugu msimuliaji basii tukomae na Jao nyiemnaotaka amtaje mkewe mnataka nini Kwa huyo mke?


Shemeji yetu akose kutajwa kwenye hadithi Kwanini??, au alikuwa anaishi na mchepuko?? au alikuwa anamlia rada mke wa Bigi??, si unakumbuka mke wa Bigi kwenye kikao na baba mwenye nyumba alikuwa akimtolea mimacho Molel bila kupepesa!!🀣🀣--- Utani tu huo.

Ila huyo Mollel yupo mahiri kweliii kwa simulizi. Kudos Mollel.
 
Inachosha unaandika vitu havina hata maana , mpaka mtu unaburuza Aya nyingine

Mfano kulikuwa Kuna haja gani ya kufafanua umama ntilie wa bembela? Kuwa anauzia sehemu Fulani sijui anauza mpaka saa sita za usiku mara kubomolewa vibanda duuh!

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Hivi umesoma mpaka mwisho ukaona hayo mambo hayana maana? Unajuaje kama nitakuja kuongelea hiyo setting hapo baadae ikiwa related na matukio ya Jirani?


Kila ninachoandika, every detail, ni muhimu sana kwenye mtiririko wangu. Unaweza usione kwa sasa ila baadae uka-appreciate.


Nyie mnaoburuza aya ndo baadae mnaanza kuongea vitu ambavyo kumbe vilishainishwa huko nyuma in details alafu useme hadithi ina ukakasi.
 
Acha kujibu kila swali, kwa mwenye akili akisoma ataelewa kwanini ulielezea profile yake. Tupe muendelezo mkuu
 


Hapa anataka kudhihirisha kwamba hiyo ni true story.
 
Achana nae
 
Hapa ndani kuna watu hawana shukrani jamani hadi aibu.
Oooh mara hivi mara vile, Yani kama mtu anaona anajua sana kuandika atoe na yeye story yake tuone kama kweli ako na ubavu majitu mengine sijui yakoje aiseh.
Tulia wewe "fom foo felia". Ulishindwa kuuliza mwaswali darasani ukafeli hata hapa unashindwa kuuliza?
 

Huyo mama anaitwa Mama Bembela,hivyo basi Bembela ni mtoto,pia mtoto alie jeruhiwa toka episode iliyopita ni mtoto wa Mama Bembela,rejea point ya kuwa wewe ndio umejichanganya
 
Mkuu ungekausha tu kujibu..wewe shusha tu episodes! Hawa wadwanzi tuachie sisi..
Jinga jingine hili. Unasoma kama kasuku, huwezi kupambanua mambo, unapelekwa tu. Itabidi mfumo wa elimu Tanzania ubadilishwe ili tusiwe na watu wa hovyo kama hawa.
 
Hii Episode ya 8 kusema ukweli hamna kitu... bora isingeandikwa kabisa. Vitu vinarukwa rukwa na kuchomekwa vingine kabla vya episode iliyopita havijatengemaa. Hapa issue ni BIG na yanayomhusu,hayo mengine ni kujaza server tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…