Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Muandishi kaweka wazi kuna muda huwa anakula kwa Mama Bembela ikiwa mkewe hayupo,pia mkewe kwenye hii hadithi yetu ya kusisimua sio Mhusika mkuu.
 
Mjuaji kazini!!??
ww kula story pita vile
 
Nafikiri hizo information utaona umuhimu wake baadae
 
Utake ama usitake sisi kusema ni lazima tu mkuu na ukiona unakasirika basi ujue wewe si muungwana. Cheki haya:-
A.Mke kwenye intro unae lakini Stori ilivyoanza hukuwa nae (na ikapendeza uwe huna mke). Kuna waliotetea kwamba mke alitajwa kwenye geti limefungwa na Bonge huku ukiwa bafuni. Labda wenzetu hawawezi kusoma maana ulisema ulisogelea madirisha ya waliokuwa ndani (majirani) na mpaka jirani mwenyewe akakuona kabla hujagonga Wala kumwita sasa hapo mke yukwapi?

B.Umesema mke hakukuwA na sababu ya kumtaja maana hakukuwA na sehemu ya mojakwamoja ya yeye kuingia mapema ikaendana na stori. Wakati huohuo umesahau Kuna Stori kibao umezirefusha ambazo basins muunganiko wa mojakwamoja na stori. Mfano story za agenda za mkutano mpaka zilivyowasilishwa, Stori ya mama Bembela, na mifano mingine

C.Unalala kesho yake lakini hakuna hata mke kukuamsha kwenye usingizi mzito. Unatulia dirishani si chini ya nusu saa lakini hakuna hata mke kushtuka siku moja na kushangaa hata akakuuliza kulikoni. Hospital sijui zahanati mkitaka kwenda mke hakushiriki hata kunyanyua gauni la jirani yake lisiingie kwenye tairi ya pikipiki.

D.Bembela ni jirani yako lakini tena Bembela ni mtoto wa huyohuyo jirani yako. Halafu walikuwa wanazozana lakini kumbe kutoka ni Bembela kamleta mtoto apigwe na kwa Big hayupo aliyetoka sasa sijui alikuwa anazozana na nani. Mtoto wa big ulisema ni chizi like lakini hapo mwisho umetaja watoto kukaongezeka tena kama chizi wa pili ambapo umesema mkeo hakuwa akimjua vizuri kwakuwa alikuwa akifungiwa (au ni Mimi nimeshindwa kusoma na kuelewa labda).

E.Kwa macho ya wanawake lakini mkeo hakuweza kuona mke wa Big anavyokukata jicho. Hakuandalii maji, chakula, hakupokei, Wala hamuagani ukitoka. Tufanye hakuwepo kikaoni basi au alisafiri Kipindi chote Cha mauzauza. Una Kazi Fulani unamalizia kwa Laptop lakini... au basi!

Kuna mtu alisema kadiri unavyoirefusha Stori ndo unavyozidi kuiharibu, nimeamini nilipofika sehemu ya 8. Labda tu niseme wazi Mimi sinaga tabia ya kufuatilia maseason au mastori yenye episodes lakini hii ilinivutia kuifuatilia nikaisoma yote. Kusema ukweli ilipofika kwenye unaenda kilabuni kutafuta mbege nikaanza kukosa mvuto ila nikajikaza nikijua mbele itarudi itakuwa nzuri lakini kwa mpaka kufikia sehemu ya 8 niseme tu safari imenishinda nakung'uta matako naaga mashindano rasmi.
Mtanipa summury mtakaomaliza yote
 
Mleta story endelea kukaza hivi hivi...wale wanaotaka mkeo awepo Kila episode waiendeleze wao iwe wanavyotaka....msalimie BIGI, Tarimo nae anaendeleaje?
😅😅😅😅
 
Big kisanga anacho aisee (mke kiziwi na mtoto tahira) duh...
 
We ndio hujaelewa rudia kusoma, hakuna mahali ameandika mtoto wa Big ndiye alieumia
 
Umemaliza mkuu
 
"...Bembela yeye tofauti na wengine hakuwa na mzazi wa kumwita..."
 
Muandishi kaweka wazi kuna muda huwa anakula kwa Mama Bembela ikiwa mkewe hayupo,pia mkewe kwenye hii hadithi yetu ya kusisimua sio Mhusika mkuu.


Kwa mazingira ya hadithi yenyewe (mazingira ya nyumbani) ilivyo haiwezekani aslani kuikwepa nafasi ya mke licha ya mara kwa mara kula kwa mama Bembela, kwa maneno mengine angalisema mkewe wakati huo alikuwa na udhuru gani kiasi kwamba ashindwe kumtaja lakini wakati huo huo amtaje mke wa Bigi, sasa huoni hivi sasa kashtukia mchezo/mapungufu na kaanza kumuhusisha mkewe!!, je huko nyuma huyo mkewe alikuwa wapi??
 
Mjuaji kazini!!??
ww kula story pita vile


Wewe ni mpuuzi bali mjinga, tunapoona mapungufu lengo ni kuifanya hii hadithi ipendeze zaidi, sisi ndio wasomaji au walaji sasa tunapoona chumvi au kiungo fulani hakitoshi basi yatupasa tuemueleze mtunzi ili ajue hayo mapungufu na wakati mwingine anapoandika story ya aina hiyo akumbukee hayo mapungufu ili asiyarudia na hadithi iwe the best.

Isitoshe hadithi hajaimaliza hivyo huo unakuwa ni wakati wa kuangalia hayo mapungufu na ayafanyie kazi ili sehemu ya mwisho ya hadithi iwe nzuri.

Kwa hakika SteveMollel ni mtunzi mzuri na sidhani kama anatosheka na huo umahiri wake kiasi kwamba asihitaji kushauriwa au hata kukosolewa.
 
Wanaomtetea wanahisi wako salama, kumbe wanaharibu ladha ya simulizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…