Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Antonia Antonnia
 
Unataka umwone na mtoto akiwa anacheza? [emoji1] Aisee, kama kuna tukio litamhusisha nitamtaja kama hamna hutokaa umwone kamwe ili nikupe wewe wasaa wa kuiandika familia yako vizuri hapa.
 
Ko steve utakomea hii moja au ndo utadondosha one for the road to mbonji!
 
Ko steve utakomea hii moja au ndo utadondosha one for the road to mbonji!
Dah....itabidi adondoshe hata mbili au tatu tena maana hii tumeisubir kwa muda mrefu sana aisee
 
Wewe ulikuwa ni mchafu tu.
 
Aiseh inasikitisha
 
Kalpana To yeye kitalembwa Antonnia PakiJinja
 
Dah....story yako nayo kali sana aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], najaribu kuvuta picha siku uliyonaswa ilikuwaje [emoji28][emoji28]...ebu pasimulie japo kidogo mkuu hapo kwenye mtego
 
Ilikua balaa mkuu nilikimbizwa nikarushiwa fuko nlilotupa mgongoni likanibwaga nikachezea kichapo raia wamechukua simu saa mkanda viatu soks kila kitu na ela kwenye suruali wanalazmisha nikawape laki mbili home au nile mavi yangu tukaenda mpk home nimevaa niko hoi mpk atm enzi hizo karibu na fire kwa mguu wanatimba nyuma mie mbele nikawapa chao wanasema nenda nikianza kwenda wananilamba fimbo aloo nlitoka nduki magetoni kusanya kila kitu vingine nimeacha nikaanza kuhaha usiku kutafta nyumba kummbuka sina simu nimevimba kote aisee zilikua siku tatu chungu ule mtaa sijapita tena
 
Pole sana mkuu.....nadhani hukurudia tena huo mchezo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Safiiii, Hongera, tunasubiri mwendelezo Mkuu.

Achana na wakosoaji wengine walifeli hicho kiswahili wanachojifanya kukifahamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…