Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida


Yani humu kama una stress zote zinakwisha.
 
Epsode imekuwa fupi sana, jitahidi iwe ndefu kidogo japo unajitahidi sana maana hujavusha siku bila kuachia epsode
 
Big huyo hapo nyuma yako 🤣🤣🤣🤣🤣
 
HAhahahahahahaha. Duuh
 
Mtu analalamika na kutukana. Anaponda na kukosoa lakini washakimbilia kuja kusoma tena ili wakereke. Hii dunia bana [emoji1][emoji1]
Mleta uzi mwenyewe shabiki wa livakuku we popolewa tu mpaka upate adabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…