Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Ficha ujinga wakoHuyo mkeo amepata mimba lini tena?mbona hakuna sehemu umeandika umemgegeda?yaani kumuingiza kwenye story jana tu leo ana mimba? Na hujasema kama uliwahi mgegeda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ficha ujinga wakoHuyo mkeo amepata mimba lini tena?mbona hakuna sehemu umeandika umemgegeda?yaani kumuingiza kwenye story jana tu leo ana mimba? Na hujasema kama uliwahi mgegeda.
Leo hii Big kamtimbia Stivu geto kwake, akamkuta yupo na kabukta na kifua wazi.
Ile stivu kumuona Big kwa ghafla akajikuta amezimia ghafla, hiyo ndiyo sababu hajaja hadi muda huu kuendelea na story.
Mkuu ongeza japo moja aisee mwanzoni nilijua ile mifurushi big wanakunya ndani wanaenda kumwaga nikachukulia poa maana ilikua ndo zangu kipindi flan chuga maji kisoda bas ile mifuko laini ya zamani ilikoma. Kwangu ilikua kila ukiingia kunanuka puu mbaya sjui nlikua nawaza nn mbaya zaid akija mama yeyo nae anafanya yake tunamix tunavizia mtaa umepoa tunaenda kutupa nje mbali kidogo sitasahau mtego niliowekewa na kunaswa mpk nikahama saa kumi usiku sjui naenda wapi life la kukosa ela mtu unakuwa nusu mwehu
Tuliza makalio basi....Ficha ujinga wako
Wakondya wasuAsante sis naona mambo ni motrooooooo!!
kitalembwa leadermoe mmash Labani og Restless Hustler Mafian cartel Antonio de Guzman iPhone 6 mpite na hukuui
😂😂😂Utatukimbiza tunaoishi karibu na makorongoBig huyo hapo nyuma yako 🤣🤣🤣🤣🤣
HAhahahahahahaha. DuuhIlikua balaa mkuu nilikimbizwa nikarushiwa fuko nlilotupa mgongoni likanibwaga nikachezea kichapo raia wamechukua simu saa mkanda viatu soks kila kitu na ela kwenye suruali wanalazmisha nikawape laki mbili home au nile mavi yangu tukaenda mpk home nimevaa niko hoi mpk atm enzi hizo karibu na fire kwa mguu wanatimba nyuma mie mbele nikawapa chao wanasema nenda nikianza kwenda wananilamba fimbo aloo nlitoka nduki magetoni kusanya kila kitu vingine nimeacha nikaanza kuhaha usiku kutafta nyumba kummbuka sina simu nimevimba kote aisee zilikua siku tatu chungu ule mtaa sijapita tena
[emoji23]we unajua tunalala sa ngap
Mnamkuza sana huyo mtu hawezi kuandika vizuri hiviKwa uandishi huu nadhani huyu Steve ndiye UMUGHAKA!
Mleta uzi mwenyewe shabiki wa livakuku we popolewa tu mpaka upate adabu.Mtu analalamika na kutukana. Anaponda na kukosoa lakini washakimbilia kuja kusoma tena ili wakereke. Hii dunia bana [emoji1][emoji1]
Kama mimi[emoji28]Haha mi huwa inakuja hiiView attachment 2508028