Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Huyo mkeo amepata mimba lini tena?mbona hakuna sehemu umeandika umemgegeda?yaani kumuingiza kwenye story jana tu leo ana mimba? Na hujasema kama uliwahi mgegeda.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hisia zangu zipo sahihi. Hii story umeitunga kizembe, sio kwa sababu haulipwi kuandika story humu basi ndio uje na uongo. Tuliza kichwa, leta story ya kweli, Kama huna pita kushoto
Umeandika ngapi za ukweli Hadi hivi sasa!?
 
Mambo kama hizi zilinifanya mimi nikaachana na story yangu ‘Nilivyokwenda South Africa bila kuwa na ndugu wala rafiki kule’

Watu humu wana ujuaji mwingi wakati mtu anaelezea story ya kweli ya maisha yake
Kumbe upo Mwamba
 
Baada ya kuulizwa mke sasa hivi kila sehemu unampachika. Ngoja nikukumbushe lingine, dada wa kazi(beki tatu) vipi? Maana ni ngumu sana wapangaji wote hao na familia hizo kusiwe na yoyote mwenye dada wa kazi
 

kazi ipo
 
Pole sana mkuu.....nadhani hukurudia tena huo mchezo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sikuwahi aisee kwanza najiuliza sana ilikuaje sjui ndo uyu big aliniroga nifanye undezi
 
Tupo wengi kumbe..mimi hata movie nione kiss naonaga ina ujinga na utoto🚮..thats why sipendi movies


Vipi na yule muheshiwa wako alipokuwa anaondoka Belgium airport alikuwa akila denda na mzungu, katika hali ile ulijisikiaje??, hukuzimia kweli?? 🤣🤣
 
Tivu kanyaga twendeeee
Boma liwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…