Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Acha kabisa mkuu navozidi kuendelea kusoma ndio nakutana na 👽👽👽👽👽😂😂😂!! Hahahaaa... Mie siogopi uchawiiii nishakumbana na visaa kibaoo yanii hata mchawi anitokee hapaaa katuu siogopii!
Kila mara nakufundisha ujasiri lakini hunielewi😂
 
Nimecheka kifala sana....we jamaa
 
Bwana mollel acha kudanganya watu umeshindwa kufupisha hbr yako hi mbona ya kawaIda Sana

Muige bwana DeepPond jinsi zege lake halilali unawachosha wasomaji nao walivyo mbumbu mbu nao wamejah mazima[emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wakosoaji walitaka jamaa asimulie kua

, Wakati namnyandua mke wangu nikasikia kishindo nje nikachomoa rungu nikakimbilia dirishani, nilipoona hakuna kitu nikarudi nikaendelea kumpelekea moto mke wangu
😂😂😂 nawasiwasi utakuwa
😄😄 wenyewe wanasema "Sheeee"
 
Nilisoma sehemu mbili tu nikachoka nikamshauri aweke in summary I'lla anizikii nae anatafuta umaarufu hapa jamii forum Kama jamaa ake umughaaka

Una kazi sna bwana molleli

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Jinga jingine hili. Unasoma kama kasuku, huwezi kupambanua mambo, unapelekwa tu. Itabidi mfumo wa elimu Tanzania ubadilishwe ili tusiwe na watu wa hovyo kama hawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]wape wape vidonge vyao

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nilisoma sehemu mbili tu nikachoka nikamshauri aweke in summary I'lla anizikii nae anatafuta umaarufu hapa jamii forum Kama jamaa ake umughaaka

Una kazi sna bwana molleli

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mimi kama kitu sikielewi wala sipotezi muda wangu hapo... Sasa wewe ushasoma ukaona huelewi siuende kwenye mada zingine??? Kwanini lkn mnakuwa binadamu msio na ufahamu....haya unaita wenzako wamfanye nini sasa!!!! Ebu jaribu kutuliza dunia maana nyie ndo mnafanya iyumbe
 
Hii Episode ya 8 kusema ukweli hamna kitu... bora isingeandikwa kabisa. Vitu vinarukwa rukwa na kuchomekwa vingine kabla vya episode iliyopita havijatengemaa. Hapa issue ni BIG na yanayomhusu,hayo mengine ni kujaza server tu!
Mueleze inhuyu bwan moleli sijui anawaonaje watu dah

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ndicho nilimuambia bwan moleli mapema tu nilifika epsod ya nne nikaanza kuona maruerue

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…