Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
BIG akafanyaje??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama uandishi ndo huu wa kukozoa I have no further comments addressed to you.Kijana Kama SAS unatudanganya unataka tukuache HV hv hapaa utapata ukozoaji mkubwa mno na mm Ni mmoja niliyekukozoa vikali
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Yanii sema naona inaenda speed balaaa!!Tembea nayo chap,ila bigi anazingua,mchawi balaa🤓
Inakimbia hadi sio poaa... sijui ndio koments za waja zinaikimbiza hivi!! lol Naona vurugu kama kule kwa masta tu hahaa!!Meonaeee
Mimi ilivyoanza tu hii mpya nikakosa hata kile kidude kinachoniruhusu kuandika thread,nimeishia kuwa mtu wa kuchangia threads za watu tuBasi mkuu nimeiona kwenye JF ya zamani. Hii mpya naona kuna shida mahala. Waheshimiwa wakuu wahusika,JF ya zamani iko vizuri sana,ni rahisi kufika,ni rahisi kufungua iko shap. Yaani kwa ujumla inaeleweka kuliko hii mpya
Ndio kazi ya mhariri kuhakiki kila angleKuna vitu vingi ambavyo anaandika vinachosha na havina hata maana... apunguze maneno mengi yanayomchosha msimaji
Ndio naona hapaaa ndondi zinatembea kwakwenda mbele 😁😁!Sema stive nae anazishusha kwa spidi sio poa,na masela nao wanamuwashia moto kwny comments km kawaida yan🤓
Amen umeeleweka mtumishiLeo tutaendelea majira ya usiku. Sipunguzi chochote wala kuongeza chochote, ukiona haiendani na matakwa yako, ignore au endelea tu kuteseka nayo.
Usingekuwa unajibu comment za watu, ungenyamaza zakoLeo tutaendelea majira ya usiku. Sipunguzi chochote wala kuongeza chochote, ukiona haiendani na matakwa yako, ignore au endelea tu kuteseka nayo.
Dah dunia simama nishuke [emoji23] [emoji23]Inaendelea...
Naam siku iliyofuata nikaamka asubuhi kama kawaida yangu kuwa wa kwanza kuamka, ile kufungua mlango dah! nikamuona Big akiwa na wenzake kama sita wakiwa vifua wazi huku wamefunga vikaniki wamezunguka duara! Kuangalia vizuri katikati ya duara kuna maiti ya yule mtoto wa jirani ambae tumetoka kumzika jana yake.
Niliamsha wapangaji wenzangu kimya kimya na nikatoa pikipiki yangu kisha nikawapa lifti ili nyumba tumuachie Big maana amezidi. View attachment 2511561
kama vipi aseme tuendelee na ishu zingine au sio [emoji1787][emoji1787][emoji1787]BIG akafanyaje??
Hii mpya nafikiri labda haijaboreshwa,ila imewakimbiza sana wanaJF. Wengi haiwapendezi. Mimi siikubali kabisa. Ile nyingine ya zamani muundo wake tu ule ulikuwa unachangamsha sana vile ilivyo. Hii mpya nimejitahidi sana kuifuatilia lakini bado hainibariki kabisa. Niwaombe tu wamiliki wavumilie sana kwa sasa ile ya zamani iendelee kuwepo tuMimi ilivyoanza tu hii mpya nikakosa hata kile kidude kinachoniruhusu kuandika thread,nimeishia kuwa mtu wa kuchangia threads za watu tu
Watu wanaogopa tu kufunguka. Lakini hii mpya haikuvutii hata mgeni kujiunga. Inaonekana kama ni lidubwasha fulani lisilo na kitu chochote. Hata unapotype labda ku-reply mara irukie juu,mara ishuke.Kumbe tunaoteseka ni wengi![]()
Kumbe tunaoteseka ni wengi[emoji23]