Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Uzii huu watu wengi wanaufatilia lakini ingekuwa jamaa kaandika Uzi wa jambo LA maana au kuomba msaada wowote hakuna MTU angesapot zaidi ya kutukanwa na kukatiswa tamaa.wana jf tubadlike tuache kufatilia mambo ambayo pindi flni havitusaidii
 
Hawa wazenguaji tuachie sisi tu-deal nao. We concentrate na story
 
Lucha Antonnia sophy27
 
Amkeniiiii kumbe jamaa na ana mtoto na hamsemiii [emoji81][emoji81][emoji81]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…