Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Huu muda uliopoteza kuandika hapa ulitosha kabisa episode moja.
Mwanzoni alikuwa anashusha episode kama hana akili nzuri kumbe ni mbinu anazozijua yeye.
Et sasa hivi na yeye analeta episode moja kwa siku kama mtindo alioutumia member flani wakuitwa mwamba.
Which means na yeye kajikuta mwamba.
 
Muda mwingine jifunze kufunika ku**u lako Hilo wewe ndio umekuwa chawa wake au ni kuwa umeamua kutafuta bw**a wa ku****la mjini hapa
Katungeni kazi zenu, msijifanye wajuaji kwenye kazi za watu, mnashurutisha mtu kama mnamuhudumia? Vipi? Mtunzi anakaanga nini? Tuambie!! Maana naona una mind kazi aliyokosea yeye, we inakuuma nini sasa, andikeni kazi zenu, yaani mnaleta udalali mpaka kwenye kazi za watu!! Nyie wanaume kweli? Kaa chini umiza kichwa, andika uzi wako hapa na wewe tusome ulichoandika,
 
Bigi anatisha sana aisee.....mke wake mwenyewe haeleweki ni mgonjwa au laaa.....duh....ngoja tusubir tuone n nn hasa kimo ndani yao.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Au umeshapendeza sis akeeee mpaka Ukachaguliwa ya ukwaju mambo sio mabayaaa [emoji1787][emoji1787]! Intelligent businessman naona mambo sio mabayaa
We Sista mawigi Antonnia dada yako Lovelovie kanisikitisha sana, angejua hiyo 500 nilivyoisotea kwa boss Bantu Lady . angeipokea kwa mikono na miguu yote, maana nimedeki mpaka bahari ili wageni wa Bantu Lady wasikasirike.
 
mambo yanazidi kuwa motooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…