Dah we sister mawigi Antonnia yaani umemuunganishia dada ako Lovelovie kwa hili jamaa kweli ??View attachment 2513155
WordUshauri kwa mods na developers wa jf, waweke option kwa muanzisha uzi ya kuzuia comment
BangiInaendelea...
Ndugu zangu, Big pamoja na kuhisiwa mambo mengi na wengine kumtupia vijembe kimafumbo kuwa ni mchawi, jambazi, mchafuzi wa mazingira n.k lakini hakuwahi kujitetea wala kumjibu mtu na aliendelea na shughuli zake kama hakujatokea kitu.
Siku moja kuna jambo lilinishangaza sana! Ilikuwa asubuhi Big aligonga mlango wangu na kuniita, nilipotoka akasema ana mazungumzo muhimu kwenye simu na mtu ila simu yake haina salio, hivyo kama simu yangu ipo vizuri nimuazime...kwa kuwa ina kifurushi cha wiki nikampa na akatokomea kuelekea kule makorongoni kukwepa tusisikie anachoongea, alipomaliza alirudisha simu na akatoka.
Kwa kuwa simu yangu ina App ya 'Call record' nikasema nikitulia nitasikiliza nijue aliongea na nani na waliongea nini maana ni mtu asiyeeleweka tena.
Kwa kuwa ilikuwa ni siku ya mwisho wa wiki siendi kazini nilisogea tu mahali na nikaanza kusikiliza!
Katika mazungumzo yale ni kwamba Big alikuwa kama amepewa taarifa ya msiba wa mama yake mzazi utakaotokea kesho saa saba mchana, Big alilalamika kwa nini wanamsaliti hawampi nafasi ya kuchagua? Yeye yupo tayari kutoa mke na mtoto lakini sio mama mzazi.
Una kichaa!? Sauti nzito ilihoji na kuendelea "mimi nimetoa watu wangapi mbona silalamiki? Hesabu uliotoa wewe na niliotoa kama unanifikia hata robo"
Bonge alisema hilo anajua ila wampe nafasi hiyo ya kufanya mabadiliko ili kesho mama asife ila akaambiwa, hilo swala halipingiki na kwamba nafsi ya mama yake imeshaanza kusafirishwa!
Bonge alilia sana na mabishano yaliendelea mpaka mwisho hakukuwa na muafaka.
Ndugu msomaji, hofu ilizidi kunishika na nikawaza kuhama nyumba ile na nikamkumbuka Bwana White ambae ni dalali....naam huyu kesho inabidi nimuone
Ikafika usiku...kamaa saa nane hivi yakaibuka mapya! Nilisikia kama mlio mkubwa sana kama kimbunga hivi, fasta nikawahi dirishani na kuchungulia, nilishuhudia mtu mwenye kichwa kama cha mbuzi akitua kutoka juu na hapo hapo mlango wa Big ukafunguliwa na kwenda kumlaki bwana yule kwa kuinamisha kichwa na kisha Big akasema kwa sauti, Mkuu samahani kwa kukuita....la kwanza yule mtu wetu anaetufuatilia anataka kuhama, hakikisha ahami mtu ndani ya nyumba hii mpaka agano letu kuu litimie.
Big akaendelea...'na pia mkuu kuna watu wananifuatilia kule ninapopeleka mali zetu na wanasema nachafua mazingira, naomba hekima yako mkuu juu ya mambo haya'.
Mkuu alijibu kwa ishara ambazo sikuzielewa na mwisho wake akaruka na kuondoka na Big kurudi ndani!
Moyo ulilipuka kwa mshtuko na nikatamani asubuhi ifike nijue naanzia wapi.
Nikapitiwa na usingizi na akanijia marehemu babu yangu usingizini na kuniambia, hayo yote yanayokutokea usiogope...ungeshakufa siku nyingi ila ipo nguvu kwako na nilikufanyia mimi tangu utoto wako maana nilijua ulimwengu wa leo utapambana na husda, chuki, uchawi na nguvu mbali mbali za ulimwengu huu.
Ghafla nikashtuka ni asubuhi na kuangalia nje nikamuona mtoto wa Big kabeba roba akitoka nayo huku watu wote wapo pale nyumbani lakini ni kama hawamuoni!
NB: mimi si mwenye stori nimenogesha kidogo wakati tukimsubiria mkuu wetu
View attachment 2513445
Duh! Mnapiga mande AKA mtungo!!?Inaendelea...
Ndugu zangu, Big pamoja na kuhisiwa mambo mengi na wengine kumtupia vijembe kimafumbo kuwa ni mchawi, jambazi, mchafuzi wa mazingira n.k lakini hakuwahi kujitetea wala kumjibu mtu na aliendelea na shughuli zake kama hakujatokea kitu.
Siku moja kuna jambo lilinishangaza sana! Ilikuwa asubuhi Big aligonga mlango wangu na kuniita, nilipotoka akasema ana mazungumzo muhimu kwenye simu na mtu ila simu yake haina salio, hivyo kama simu yangu ipo vizuri nimuazime...kwa kuwa ina kifurushi cha wiki nikampa na akatokomea kuelekea kule makorongoni kukwepa tusisikie anachoongea, alipomaliza alirudisha simu na akatoka.
Kwa kuwa simu yangu ina App ya 'Call record' nikasema nikitulia nitasikiliza nijue aliongea na nani na waliongea nini maana ni mtu asiyeeleweka tena.
Kwa kuwa ilikuwa ni siku ya mwisho wa wiki siendi kazini nilisogea tu mahali na nikaanza kusikiliza!
Katika mazungumzo yale ni kwamba Big alikuwa kama amepewa taarifa ya msiba wa mama yake mzazi utakaotokea kesho saa saba mchana, Big alilalamika kwa nini wanamsaliti hawampi nafasi ya kuchagua? Yeye yupo tayari kutoa mke na mtoto lakini sio mama mzazi.
Una kichaa!? Sauti nzito ilihoji na kuendelea "mimi nimetoa watu wangapi mbona silalamiki? Hesabu uliotoa wewe na niliotoa kama unanifikia hata robo"
Bonge alisema hilo anajua ila wampe nafasi hiyo ya kufanya mabadiliko ili kesho mama asife ila akaambiwa, hilo swala halipingiki na kwamba nafsi ya mama yake imeshaanza kusafirishwa!
Bonge alilia sana na mabishano yaliendelea mpaka mwisho hakukuwa na muafaka.
Ndugu msomaji, hofu ilizidi kunishika na nikawaza kuhama nyumba ile na nikamkumbuka Bwana White ambae ni dalali....naam huyu kesho inabidi nimuone
Ikafika usiku...kamaa saa nane hivi yakaibuka mapya! Nilisikia kama mlio mkubwa sana kama kimbunga hivi, fasta nikawahi dirishani na kuchungulia, nilishuhudia mtu mwenye kichwa kama cha mbuzi akitua kutoka juu na hapo hapo mlango wa Big ukafunguliwa na kwenda kumlaki bwana yule kwa kuinamisha kichwa na kisha Big akasema kwa sauti, Mkuu samahani kwa kukuita....la kwanza yule mtu wetu anaetufuatilia anataka kuhama, hakikisha ahami mtu ndani ya nyumba hii mpaka agano letu kuu litimie.
Big akaendelea...'na pia mkuu kuna watu wananifuatilia kule ninapopeleka mali zetu na wanasema nachafua mazingira, naomba hekima yako mkuu juu ya mambo haya'.
Mkuu alijibu kwa ishara ambazo sikuzielewa na mwisho wake akaruka na kuondoka na Big kurudi ndani!
Moyo ulilipuka kwa mshtuko na nikatamani asubuhi ifike nijue naanzia wapi.
Nikapitiwa na usingizi na akanijia marehemu babu yangu usingizini na kuniambia, hayo yote yanayokutokea usiogope...ungeshakufa siku nyingi ila ipo nguvu kwako na nilikufanyia mimi tangu utoto wako maana nilijua ulimwengu wa leo utapambana na husda, chuki, uchawi na nguvu mbali mbali za ulimwengu huu.
Ghafla nikashtuka ni asubuhi na kuangalia nje nikamuona mtoto wa Big kabeba roba akitoka nayo huku watu wote wapo pale nyumbani lakini ni kama hawamuoni!
NB: mimi si mwenye stori nimenogesha kidogo wakati tukimsubiria mkuu wetu
View attachment 2513445
Hainogi hata, wacha kupoteza muda wako fanya mambo mengine. Huna consistency ya matumizi ya maneno katika uandishi, huku unatuambia BIGI huku unatuambia Bonge, wewe umeona popote mwandishi akichanganya majina? Ningeshauri ubaki ukifanya kazi yako hili suala muachie muandishi anogeshe mwenyewe, hii kitu yako nimesoma nusu nikachoka kwakweli............Inaendelea...
Ndugu zangu, Big pamoja na kuhisiwa mambo mengi na wengine kumtupia vijembe kimafumbo kuwa ni mchawi, jambazi, mchafuzi wa mazingira n.k lakini hakuwahi kujitetea wala kumjibu mtu na aliendelea na shughuli zake kama hakujatokea kitu.
Siku moja kuna jambo lilinishangaza sana! Ilikuwa asubuhi Big aligonga mlango wangu na kuniita, nilipotoka akasema ana mazungumzo muhimu kwenye simu na mtu ila simu yake haina salio, hivyo kama simu yangu ipo vizuri nimuazime...kwa kuwa ina kifurushi cha wiki nikampa na akatokomea kuelekea kule makorongoni kukwepa tusisikie anachoongea, alipomaliza alirudisha simu na akatoka.
Kwa kuwa simu yangu ina App ya 'Call record' nikasema nikitulia nitasikiliza nijue aliongea na nani na waliongea nini maana ni mtu asiyeeleweka tena.
Kwa kuwa ilikuwa ni siku ya mwisho wa wiki siendi kazini nilisogea tu mahali na nikaanza kusikiliza!
Katika mazungumzo yale ni kwamba Big alikuwa kama amepewa taarifa ya msiba wa mama yake mzazi utakaotokea kesho saa saba mchana, Big alilalamika kwa nini wanamsaliti hawampi nafasi ya kuchagua? Yeye yupo tayari kutoa mke na mtoto lakini sio mama mzazi.
Una kichaa!? Sauti nzito ilihoji na kuendelea "mimi nimetoa watu wangapi mbona silalamiki? Hesabu uliotoa wewe na niliotoa kama unanifikia hata robo"
Bonge alisema hilo anajua ila wampe nafasi hiyo ya kufanya mabadiliko ili kesho mama asife ila akaambiwa, hilo swala halipingiki na kwamba nafsi ya mama yake imeshaanza kusafirishwa!
Bonge alilia sana na mabishano yaliendelea mpaka mwisho hakukuwa na muafaka.
Ndugu msomaji, hofu ilizidi kunishika na nikawaza kuhama nyumba ile na nikamkumbuka Bwana White ambae ni dalali....naam huyu kesho inabidi nimuone
Ikafika usiku...kamaa saa nane hivi yakaibuka mapya! Nilisikia kama mlio mkubwa sana kama kimbunga hivi, fasta nikawahi dirishani na kuchungulia, nilishuhudia mtu mwenye kichwa kama cha mbuzi akitua kutoka juu na hapo hapo mlango wa Big ukafunguliwa na kwenda kumlaki bwana yule kwa kuinamisha kichwa na kisha Big akasema kwa sauti, Mkuu samahani kwa kukuita....la kwanza yule mtu wetu anaetufuatilia anataka kuhama, hakikisha ahami mtu ndani ya nyumba hii mpaka agano letu kuu litimie.
Big akaendelea...'na pia mkuu kuna watu wananifuatilia kule ninapopeleka mali zetu na wanasema nachafua mazingira, naomba hekima yako mkuu juu ya mambo haya'.
Mkuu alijibu kwa ishara ambazo sikuzielewa na mwisho wake akaruka na kuondoka na Big kurudi ndani!
Moyo ulilipuka kwa mshtuko na nikatamani asubuhi ifike nijue naanzia wapi.
Nikapitiwa na usingizi na akanijia marehemu babu yangu usingizini na kuniambia, hayo yote yanayokutokea usiogope...ungeshakufa siku nyingi ila ipo nguvu kwako na nilikufanyia mimi tangu utoto wako maana nilijua ulimwengu wa leo utapambana na husda, chuki, uchawi na nguvu mbali mbali za ulimwengu huu.
Ghafla nikashtuka ni asubuhi na kuangalia nje nikamuona mtoto wa Big kabeba roba akitoka nayo huku watu wote wapo pale nyumbani lakini ni kama hawamuoni!
NB: mimi si mwenye stori nimenogesha kidogo wakati tukimsubiria mkuu wetu
View attachment 2513445
Eeh kwa mganga tena Khaaa🤔Kuna watu wagumu kuamua kinoma yani mimi ile ile siku niliyoanza kuona malue lue ningeenga kwa mganga kujikinga sina cha kupoteza dadeki
[emoji28][emoji28]Inaendelea...
Naam siku iliyofuata nikaamka asubuhi kama kawaida yangu kuwa wa kwanza kuamka, ile kufungua mlango dah! nikamuona Big akiwa na wenzake kama sita wakiwa vifua wazi huku wamefunga vikaniki wamezunguka duara! Kuangalia vizuri katikati ya duara kuna maiti ya yule mtoto wa jirani ambae tumetoka kumzika jana yake.
Niliamsha wapangaji wenzangu kimya kimya na nikatoa pikipiki yangu kisha nikawapa lifti ili nyumba tumuachie Big maana amezidi. View attachment 2511561
Binafsi natumia app ya zaman ndo ipo vzur hii yasasa nilijaribu nikaona chenga tuHii mpya nafikiri labda haijaboreshwa,ila imewakimbiza sana wanaJF. Wengi haiwapendezi. Mimi siikubali kabisa. Ile nyingine ya zamani muundo wake tu ule ulikuwa unachangamsha sana vile ilivyo. Hii mpya nimejitahidi sana kuifuatilia lakini bado hainibariki kabisa. Niwaombe tu wamiliki wavumilie sana kwa sasa ile ya zamani iendelee kuwepo tu
Umeongea kitu kikubwa sana aisee, ukikosa jirani mwema hata amani ya kuishapo inapunguaukiombea kupata nyumba ombea na kupata jirani mwema
SawasawaUmeongea kitu kikubwa sana aisee, ukikosa jirani mwema hata amani ya kuishapo inapungua
Sld bgmoyoBiggy, Biggy Poper [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] Big kauwa mtoto wetu, dah!! Oya noma sana
Unamlipa? Au unalazimishwa? Hivi bongo tukojeNdio ukwel ukimwambia anakuchukia halafu hatoi hata excuse,
Nimeithibitisha hapa napoishi aiseeukiombea kupata nyumba ombea na kupata jirani mwema