Umempa heshima sana kumjibu maana yeye tu uandishi ni Tatizo.Samahani naomba kukuuliza
Kipi kirahisi, yeye kuachana na hii story au wewe kuachana na story yake na ukafanya vitu vyako unavyovipenda.
Nimesema kama vp auze kitabu tutanunuaNa mimi nasema aendelee hivyo hivyo kwani mnamlipa? Aandike asiandike fresh tu.
Aangushe mfululizo kwa malipo gani, why you people are so arrogant? Mpeni muda afanye kwa muda wake pressure yenu haisaidii
Mnampangia mtu na story yake? Hii NI simulizi Tu either ukweli au uongo someni mpate burudaniNimesoma kwa kina lakini dizaini NAONA kama kamba tu [emoji23] yani pamoja na misukomisuko yoote hujawai kumkumbuka mungu tu wewe kazi yako kuvuta pumzi ndefu kujipumzisha na kumfatilia bwana BIG pamoja yoote ulioyaona haujawai kumkumbuka wala kumuomba mungu kufanya maombi n.k
Achague moja atoe nzima au asaeme muda gani ataangusha story. Mapozi mengine hayana maana kama anakitabu aseme tutanunuaUnajua mimi nashangaa sana,mtu kaamua kuleta story yake Kwa moyo wake,na mjue pia ana majukum ya kimaisha ana familia ana kazi zake pia,sasa watu wengine wanataka mtu aandike tu.mnakera Kwa kweli,muacheni anapopata muda anaandika,kwani mpaka hapa tulipofikia si kaandika Kwa mda wake.
Sent from my CPH2271 using JamiiForums mobile app
Hahhahah nimeamka salama kabisa hofu kwako tuKwa hisani ya BIGI, umeamkaje mrembo?
Yaaniii[emoji8]
Sasa picha ndio linaanza...
Nitakushikisha ukuta bila mafuta wewe leta mazoea na mimiDogo acha uvivu kama comments tu zinakuchosha,nazan kuna wakati hata huwa huchambi unaposhusha gogo
Comments ndo zinampa nguvu msimliaji maana zinampa feedback kwa jinsi watu wanavyofatilia story yake,comments ni kama mashabiki uwanjani
Acha kuleta utoto wa mama mpaka kwenye nyuzi za wanaume,
Subiri shamba boy akuvunjie biskut ule ulale
Asante nimekusoma.Ukitaka kusoma stry usiitafute kwa mtiririko huo unayofanya lazima upotee nenda moja kwa moja kweny ID ya mtoa mada inakua rahisi zaid kwako.
Naomba LinkKule telegram tumetoa bukubuku iko episode ya 17
Vijana mna nongwa sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Baada ya kuulizwa mke sasa hivi kila sehemu unampachika. Ngoja nikukumbushe lingine, dada wa kazi(beki tatu) vipi? Maana ni ngumu sana wapangaji wote hao na familia hizo kusiwe na yoyote mwenye dada wa kazi
Niko salama salimini. Uliweza kuisoma usiku? Au ulisubiria mpaka pakuche?Hahhahah nimeamka salama kabisa hofu kwako tu
Differenciation🙌Avatar imenukumbusha mbali
Balaa na nusu differentiation and integration Ila math tamu sana...Differenciation[emoji119]