Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Nimegundua wengi humu ni kubwabwaja sana, Kuna maswali mnauliza na maoni mnatoa, hata hadhithi haijaisha.

Kujifanya mnajuaa kumbe hewa tu. Tulieni someni, kizuri sepa nacho, kibaya achana nacho nyauuuuu
 
Acha na chakula, chumvi, pilipili, limao nk

Mke wa Mollel na pilipili wapi na wapi dogo?

Usijipe ufasaha usiouweza

Acha watu wafurahie hadithi, YOU CAN WRITE ABOUT MKE WA MOLLEL KWENYE HADITHI YAKO MBOVU NA YA KIJUAJI


Hadithi yangu mbovu na ya kijuaji ni ipi??-- roho yako ni mbaya tu kama korosho.

Kutoa maoni imekuwa nongwa??

Truly, blackness of a black man skin does not merely rest on his skin but also in his brain.--- what you expose is a sure sign of blackness in your grey matter.
 
Mkuu SteveMollel unapambana kurefusha story pasi na msingi wowote,matukio mengine hata siyo yakuandikwa inaweza kuwa fupi na credits ukapata vilevile.
Unaumiza kichwa bure, acha mara moja.


Kwa huo ushauri wako kwa SteveMollel watakuja vidume wenye roho za ugwadu wakurarue, Ohooo wee shauri yako!!🤣🤣
 
Author kakimbia thread wakuu wanamchapa maswali dah jf ni hatar.....!


Jf kuna wasomi na wachovu, wasomi wanasoma hadi nukta, koma nk, katika hadithi, wachovu wao ni mbumbumbu tu hawajui mbivu wala mbichi wao ni bora ligende tu.
 
Kuwa na adabu wewe sisi ndo wataalamu
Hapa ndani kuna watu hawana shukrani jamani hadi aibu.
Oooh mara hivi mara vile, Yani kama mtu anaona anajua sana kuandika atoe na yeye story yake tuone kama kweli ako na ubavu majitu mengine sijui yakoje aiseh.
A
 
Uzi
Hii Episode ya 8 kusema ukweli hamna kitu... bora isingeandikwa kabisa. Vitu vinarukwa rukwa na kuchomekwa vingine kabla vya episode iliyopita havijatengemaa. Hapa issue ni BIG na yanayomhusu,hayo mengine ni kujaza server tu!
Ufutwe tu
 
Hii Tabia mtu akileta kisa chake Au hadithi yake watu wanaanza kuropoka nakudiss, hivi hii Tabia chanzo chake ni nini?!
Mtu anasoma vizur tu then anaanza kubishana na msimuliaji duh! Et Anaweka dought.
Huu ndio uchawi wenyewe.
 
Author kakimbia thread wakuu wanamchapa maswali dah jf ni hatar.....!
Ukitaka "usichapwe" maswali andika story yako yote mpaka mwisho ndio uitume hapa..😂😂 Vinginevyo maswali yatakuwa mengi sana. Kwa mfano mimi sijajua kuchukua dumu na process zote za kwenda kununua mbege na kuikosa ilikuwa na maana gani.
 
Ambao. Kazi yenu ni kukosoa andikeni na nyie story yenu tusome

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app


Hivi inahitajika mtu uwe kama Christiano Ronaldo ili utoe kasoro za mchezaji akiwa uwanjani??-- au unahitajika uwe mpishi bora au uwe mlaji bora kutambua chakula kisichokuwa na chumvi??-- wasomaji wa hadithi ni kama walaji wa chakula na mwandishi wa hadithi ndiye kama mpishi.
 
Back
Top Bottom