Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Baada ya kuulizwa mke sasa hivi kila sehemu unampachika. Ngoja nikukumbushe lingine, dada wa kazi(beki tatu) vipi? Maana ni ngumu sana wapangaji wote hao na familia hizo kusiwe na yoyote mwenye dada wa kazi
Alishasema aina ya maisha ya hao wapangaji wenzake jmn,watu ilimradi mumkere tu mwenzenu. Alisema tarimo ana duka ila mke wake ni maza house, kuna yule boda na mke wake ambae jamaa ndio anapiga mishe ila mke ni wa home.
 
Unataka kuniambia baada tu ya watu kumsema hivyo haraka haraka tu akaenda kwenye uhariri wake na akaweka nafasi ya mwanamke,point yako haijakaa sawa,pia stori yetu sana inahusu maisha ya Big na yeye pia ndo nyota wa hadithi yetu.


Story ili iwe tamu ni lazima iwe na vionjo, kionjo cha nafasi ya mke (kwa mawazo yangu na ya wengine) hapo mwanzo kilikosekana kulingana na UKUMBI/scene wa matukio yaliyomuhusu stevemollel binafsi.

Mimi sikuwa mtu kwa kwanza kuona hayo "mapungufu" nadhani atakuwa kafanyia kazi baada ya watu hao kubainisha hayo mapungufu.
 
Unahasira? We endelea kusimulia hadithi yako. Tatizo ni langu nilifikiri ni matukio ya kweli kumbe hadithi njoo, uongo njoo utamu kolea. Uliopofata viroba vyenye vitu vilivyooza gizani na ukashika hadi kichwa cha mbuzi kwa mikono mitupu niligundua uongo njoo.


Wakati huo alikuwa "kapombeka"(kanywa pombe) au hukusoma vizuri??--- isitoshe kwa akili za pombe alidhani mle ndani ya kiloba kuna pesa na ndio maana alichuka ile sh 50, 100?? aliyoikuta ndani ya kiloba, hakuwa yeye wakati huo bali ilikuwa ni pombe, najaribu kuunganisha dots.🤣🤣
 
Utake ama usitake sisi kusema ni lazima tu mkuu na ukiona unakasirika basi ujue wewe si muungwana. Cheki haya:-
A.Mke kwenye intro unae lakini Stori ilivyoanza hukuwa nae (na ikapendeza uwe huna mke). Kuna waliotetea kwamba mke alitajwa kwenye geti limefungwa na Bonge huku ukiwa bafuni. Labda wenzetu hawawezi kusoma maana ulisema ulisogelea madirisha ya waliokuwa ndani (majirani) na mpaka jirani mwenyewe akakuona kabla hujagonga Wala kumwita sasa hapo mke yukwapi?

B.Umesema mke hakukuwA na sababu ya kumtaja maana hakukuwA na sehemu ya mojakwamoja ya yeye kuingia mapema ikaendana na stori. Wakati huohuo umesahau Kuna Stori kibao umezirefusha ambazo basins muunganiko wa mojakwamoja na stori. Mfano story za agenda za mkutano mpaka zilivyowasilishwa, Stori ya mama Bembela, na mifano mingine

C.Unalala kesho yake lakini hakuna hata mke kukuamsha kwenye usingizi mzito. Unatulia dirishani si chini ya nusu saa lakini hakuna hata mke kushtuka siku moja na kushangaa hata akakuuliza kulikoni. Hospital sijui zahanati mkitaka kwenda mke hakushiriki hata kunyanyua gauni la jirani yake lisiingie kwenye tairi ya pikipiki.

D.Bembela ni jirani yako lakini tena Bembela ni mtoto wa huyohuyo jirani yako. Halafu walikuwa wanazozana lakini kumbe kutoka ni Bembela kamleta mtoto apigwe na kwa Big hayupo aliyetoka sasa sijui alikuwa anazozana na nani. Mtoto wa big ulisema ni chizi like lakini hapo mwisho umetaja watoto kukaongezeka tena kama chizi wa pili ambapo umesema mkeo hakuwa akimjua vizuri kwakuwa alikuwa akifungiwa (au ni Mimi nimeshindwa kusoma na kuelewa labda).

E.Kwa macho ya wanawake lakini mkeo hakuweza kuona mke wa Big anavyokukata jicho. Hakuandalii maji, chakula, hakupokei, Wala hamuagani ukitoka. Tufanye hakuwepo kikaoni basi au alisafiri Kipindi chote Cha mauzauza. Una Kazi Fulani unamalizia kwa Laptop lakini... au basi!

Kuna mtu alisema kadiri unavyoirefusha Stori ndo unavyozidi kuiharibu, nimeamini nilipofika sehemu ya 8. Labda tu niseme wazi Mimi sinaga tabia ya kufuatilia maseason au mastori yenye episodes lakini hii ilinivutia kuifuatilia nikaisoma yote. Kusema ukweli ilipofika kwenye unaenda kilabuni kutafuta mbege nikaanza kukosa mvuto ila nikajikaza nikijua mbele itarudi itakuwa nzuri lakini kwa mpaka kufikia sehemu ya 8 niseme tu safari imenishinda nakung'uta matako naaga mashindano rasmi.
Mtanipa summury mtakaomaliza yote

Where do you get energy to write all these points? Kwel wa Tanzania wana akili ila hawezi zibadili kjwa fursa.
 
Utake ama usitake sisi kusema ni lazima tu mkuu na ukiona unakasirika basi ujue wewe si muungwana. Cheki haya:-
A.Mke kwenye intro unae lakini Stori ilivyoanza hukuwa nae (na ikapendeza uwe huna mke). Kuna waliotetea kwamba mke alitajwa kwenye geti limefungwa na Bonge huku ukiwa bafuni. Labda wenzetu hawawezi kusoma maana ulisema ulisogelea madirisha ya waliokuwa ndani (majirani) na mpaka jirani mwenyewe akakuona kabla hujagonga Wala kumwita sasa hapo mke yukwapi?

B.Umesema mke hakukuwA na sababu ya kumtaja maana hakukuwA na sehemu ya mojakwamoja ya yeye kuingia mapema ikaendana na stori. Wakati huohuo umesahau Kuna Stori kibao umezirefusha ambazo basins muunganiko wa mojakwamoja na stori. Mfano story za agenda za mkutano mpaka zilivyowasilishwa, Stori ya mama Bembela, na mifano mingine

C.Unalala kesho yake lakini hakuna hata mke kukuamsha kwenye usingizi mzito. Unatulia dirishani si chini ya nusu saa lakini hakuna hata mke kushtuka siku moja na kushangaa hata akakuuliza kulikoni. Hospital sijui zahanati mkitaka kwenda mke hakushiriki hata kunyanyua gauni la jirani yake lisiingie kwenye tairi ya pikipiki.

D.Bembela ni jirani yako lakini tena Bembela ni mtoto wa huyohuyo jirani yako. Halafu walikuwa wanazozana lakini kumbe kutoka ni Bembela kamleta mtoto apigwe na kwa Big hayupo aliyetoka sasa sijui alikuwa anazozana na nani. Mtoto wa big ulisema ni chizi like lakini hapo mwisho umetaja watoto kukaongezeka tena kama chizi wa pili ambapo umesema mkeo hakuwa akimjua vizuri kwakuwa alikuwa akifungiwa (au ni Mimi nimeshindwa kusoma na kuelewa labda).

E.Kwa macho ya wanawake lakini mkeo hakuweza kuona mke wa Big anavyokukata jicho. Hakuandalii maji, chakula, hakupokei, Wala hamuagani ukitoka. Tufanye hakuwepo kikaoni basi au alisafiri Kipindi chote Cha mauzauza. Una Kazi Fulani unamalizia kwa Laptop lakini... au basi!

Kuna mtu alisema kadiri unavyoirefusha Stori ndo unavyozidi kuiharibu, nimeamini nilipofika sehemu ya 8. Labda tu niseme wazi Mimi sinaga tabia ya kufuatilia maseason au mastori yenye episodes lakini hii ilinivutia kuifuatilia nikaisoma yote. Kusema ukweli ilipofika kwenye unaenda kilabuni kutafuta mbege nikaanza kukosa mvuto ila nikajikaza nikijua mbele itarudi itakuwa nzuri lakini kwa mpaka kufikia sehemu ya 8 niseme tu safari imenishinda nakung'uta matako naaga mashindano rasmi.
Mtanipa summury mtakaomaliza yote
Japo huwa sipendi wanaoleta ujuaji kwenye story za watu ila ndugu upo vizuri.
 
[emoji23][emoji23] Nacheka
We mzee Watu8 Unamuona mwenzako yupo na chanzo cha kifo chake?
20230209_080435.jpg
 
Mkuu SteveMollel kwa heshima na taadhima; kama umekwazwa na maneno yetu basi utuuwie radhi sana kwani lengo letu ilikuwa ni kujenga na sio kubomoa, wewe ni mahari sana katika utunzi wa hadithi na tunapokushauri au hata kukukosoa ni katika njia ya kuzidi kunoa makali ya umahiri wako, mimi binafsi sina kipaji ulichonacho bali mimi naweza kudai ninacho kipaji cha usomaji na kutafakari mambo na si mimi tu bali hata wapo pia wengine wenye kipaji cha aina hiyo basi nichukue nafasi hii kukusihi uendelee na Episode zifuatazo ili kukidhi haja ya utamu wa hii hadithi yako, hakuna mtu mkamilifu kwani hata sisi (watoa maoni) tunayo mapungufu yetu cha msingi tu ni kukubali kukosolewa na kushauriwa ili mambo yaende, tuwie radhi mkuu ili uendeleze hadithi kwa ajili yetu kwani tunapenda hadithi hiyo iishe KATIKA NJIA YOYOTE UNAYOIONA INAFAA ili roho na tashwishi zetu zitulie.

Karibu mkuu.
Unamuitaje mwanaume mwenzio mahari?
 
Nimeeleza kwa kina lifestyle yangu na changamoto niliyokuwa nayo kwenye upande wa usafiri wangu na pia udhaifu wa makazi tulokuwapo.

Ungeweza kulala fofofo huku umeacha chombo ambacho hakipo locked na mahali pana kadhia ya vibaka mara kwa mara? Huku miundombinu ikiwa so rafiki?

Anyways mkuu, tunatofautiana maisha, akili na tabia.

Napokea vyote maua na mawe.
Hajawahah kumilik chombo .angewah angeona kama usingizi unakuja
Huwez kulala kizembe
 
Wakati huo alikuwa "kapombeka"(kanywa pombe) au hukusoma vizuri??--- isitoshe kwa akili za pombe alidhani mle ndani ya kiloba kuna pesa na ndio maana alichuka ile sh 50, 100?? aliyoikuta ndani ya kiloba, hakuwa yeye wakati huo bali ilikuwa ni pombe, najaribu kuunganisha dots.🤣🤣
Hadithi imekuingia vizuri hadi unavaa uhusika, safi sana.
 
Hiyo ni story tu usiichukulie kiukweli mkuu,[emoji1787][emoji1787]
Kuna mahali msimuliaji alisema ni story tu, lakini kwa mtoto aliyekufa anasema "nadhani watu mlioishi eneo hilo mnakumbuka vizuri kifo cha mtoto huyo kilivyoleta utata" Labda story ina ukweli kiasi na kuongezewa chumvi nyingi ili inoge.
 
Back
Top Bottom