Chief Editor
JF-Expert Member
- Feb 18, 2019
- 780
- 2,269
I beg to differ Dada. Kajala enzi za uteenager wake alikuwa anafikisha hata wiki hajalala nyumbani kwao wala kwa ndugu na hajaaga , hili analikili yeye Kajala mwenyewe katika interview na salama Jabir. Ikumbukwe alikua anaishi kinyemela na P-Funk wakati aliotakiwa kuwa shule sekondari. Kwa maoni haya naona alikuwa mcharuko tangu kitambo.Mambo ya wawili hayo.....
Mbona kajala enzi hizo hakuaga wa hivi na majani alimmwaga? Kaja kucharuka uzeeni!!!
Hayo ni mawazo yako unayotaka kuhalalisha. Ukitaka mwanamke sahihi wa kuzaa naye muulize baba yako na umsome mama yako kama unatoka kwenye familia yenye siha pande zote.Case study iwe ya Majani, P funk na mwanae Paula aliyezaa na Kajala.
1. Usizae na mwanamke mwanaharakati maarufu kama Feminist, yeye hajua kushindwa wala kukosa, kichwani mwao hawa wanawake kumejaa fikra za kuonewa na kukandamizwa na kufight kutoka kweny hali hiyo.
2. Usizae na mwanamke msomi asiyeelewa nin maana ya Elimu, na kudhani elimu kwa mwanamke ipo ili kumpa hadhi sawa na mwanaume au kuonesha mwanamke anaweza kufanya au kusoma km mwanaume tu hivyo kumuondolea dhima yote ya elimu badala yake kumbadilisha mtazamo na kuingia kwenye vita na wanaume.
3. Usizae na mwanamke wa mitandao, fake. Wanaangalia kwenye mitandao au Tv then wanakuja kulazimisha kuyaishi katika uhalisia.
Pole P-Funk, mimi kama Baba nakuelewa ila kuna sehemu unatakiwa ujilaumu wewe mwenyewe kwa kumchagua mama wa ovyo.
Akiwa na Alfan bado alikuwa analiwa pembeni na dogo mmoja mpemba mazake alikuwa na duka la viatu kariakoo.I beg to differ Dada. Kajala enzi za uteenager wake alikuwa anafikisha hata wiki hajalala nyumbani kwao wala kwa ndugu na hajaaga , hili analikili yeye Kajala mwenyewe katika interview na salama Jabir. Ikumbukwe alikua anaishi kinyemela na P-Funk wakati aliotakiwa kuwa shule sekondari. Kwa maoni haya naona alikuwa mcharuko tangu kitambo.
Basi walikutana chupa na mfuniko, p funk asilaumu nae ni wale wale tofauti yao jinsia tuI beg to differ Dada. Kajala enzi za uteenager wake alikuwa anafikisha hata wiki hajalala nyumbani kwao wala kwa ndugu na hajaaga , hili analikili yeye Kajala mwenyewe katika interview na salama Jabir. Ikumbukwe alikua anaishi kinyemela na P-Funk wakati aliotakiwa kuwa shule sekondari. Kwa maoni haya naona alikuwa mcharuko tangu kitambo.
Au na wewe ni miongoni mwa wanawake wasiofaa kuzaa nao??Wanaume msiojiamini mna matatizo Sana, dunia iliumbwa tuzaane na tuongezeke wewe unaleta hadithi zako eti usizae na yule kah.
Kha!kha!.Hajajua tu... kuna watu wanazaa hadi na malaya wanaojipanga...hata mwanamke awe na mabawa atapata tu mwanaume wa kufanana nae
Nilijua tuuu haka kadada katacomment cariha cariha Tanzania kuwa na Mtu kama huyu mwenye elimu lkn hana ujuzi katika maisha yake ni tatizo pole kwako na kwa generationWanaume msiojiamini mna matatizo sana, dunia iliumbwa tuzaane na tuongezeke wewe unaleta hadithi zako eti usizae na yule kah.