Jitahidi kutoa ushuzi unapotaka kutoka

Nimekaa mwenyewe kwa kochi, kimekuja kile cha yusuphuuuuuu nikakiachia kama kilivyoo aah farting is real nice😂😂
 
Kama ni kile cha "yusuph" basi wengi huwa wanakiachia tu bila aibu.
 
Nimekaa mwenyewe kwa kochi, kimekuja kile cha yusuphuuuuuu nikakiachia kama kilivyoo aah farting is real nice😂😂
Hivi na nyie huwa mnajamba?? Nimeshuhudiwa wachache sana.
Nna manzi yangu huwa hapend ujambe mbele yake, kuna siku tumbo lilikua hovyo na niko nae usiku mzima, nilipata tabu sana, ile siku kila kijambo kikija nastuka inabidi nijambie nje, kulivokucha tu nkatafuta sababu asepe nijambe zangu kwa amani.

Ila kwa mamen mchizi kuachia ushuzi huwa sio big deal, mtammaindi ila ndo ivo ashajamba sasa arudishe ushuzi ama!?
 
Wakati tupo shule mtu akijamba utasikia wahuni wanasema "nani huyo asemage mapema nanunuaga mie"[emoji23][emoji23]
Shule ya msingi Kuna washkaji walikuwa wanashindana kujamba class afu poa tuu hawajali wala nini shida mnayo nyie mashabiki na watazamaji[emoji1][emoji1]
 
Jitahidi ujambe kila inapohitajika. Kuzuia kutoa hewa (Kujamba) pasipo sababu ya msingi Unaweza kujisababishia tatizo kubwa zaidi la utumbo kujikunja (Intestinal Torsion). Ukishaelewa kwamba hakuna mtu au binadamu yeyote chini ya hili jua asiyejamba na kwamba ni kitu asili hutaona shida kujisetiri. Mbona kukojoa haina shida?
 
Tujambe jamani....ikibidi iwepo na siku ya kuachia ushuzi kabisa.
 
Why ukajambie nje bana, huo muda unaojibana hadi utoke nje si utaumwa tumbo😂😂 jiachie hapo hapo kijambo kikikujia, tena wadada tunajiachia vizuri na si ajabu hata huyo manzi ako akiwa mwanyewe anaviachia vijambo kama kawa😀
 
Sijui ni lini Binaadamu watazoea hilo...Mtu yakimkuta mbele ya Watu anakuwa embarassed sana.

Nina uhakika kabisa hata huyo anayeshauri wenzake yeye hawezi kuthubutu kufanya hivyo mbele ya Watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…