Jitahidi ujue neno la Mungu maana Manabii wengi wapigaji

Jitahidi ujue neno la Mungu maana Manabii wengi wapigaji

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Narudia tena Mungu awape ufahamu kulijua neno la Mungu wapendwa.

Kuna jirani yangu ni mpenzi sana wa mahubiri ya redio. Akajichanganya kasikia kanisa moja huko buza, alipofika no 1 kumwona nabii akaambiwa shida zake zinahitaj gharama kubwa, aliemloga ametumia hela kubwa kaambiwa atafute 300,000.

Dada akaja kuniomba ushauri nkamwambia mi sijawahi amini manabii wanaosema njoo ofisini mapema sijui ana watu wengi usi na usi...kumb 13:5_9

Nikamwambia sijawahi sikia manabii wach maarufu kama kina marehemu kulola ama yule wa assmblies of God waanzilishi hawakuwahi kuita waumini vyumbani

Jihadhari na matapeli wapendwa nenden mkasome neno la Mungu mjue Mungu hata mkiwa na shida kuna maandiko ya magonjwa umasikini simamien kwa maombi mtatoka. Hawa wanaotaka kukuona kukusaidia mpaka utoe pesaa kimbieni.

Bible iko wazi mmepewa bure toeni bure, haya mambo ya sijui umelogwa sanaa umepigwaa sana kwa gharama ati na wewe utolewe gharama ili uombewe.

Jiulizeni sana kwa hili hasa wamama, mmekuwa misikule ya hawa watu hukuu mkiishia kuwa masiikiniiii.
 
Ukiona kiongozi wa kiroho anafundisha mafanikio tu ya kimwili huku akisisitiza sadaka na michango yenye lengo la kumnufaisha yeye pekee, kaa mbali naye.

Pia ukiona kiongozi wako anafanya biashara ya maji, chumvi, mafuta na mengineyo yanayofanana na hayo ujue uko kwenye njia ya kuelekea kwa Lucifer.
 
HAWA HAWA NDIOOO WANAKWAMBIAAAA TUPAAA DAWAA UMESHAPONAAA WAKATI WAO WANATUMIA VIDONGE KUISHI...
 
HEBR 11.1
TUMIA IMANI KUSAFISHA MATATIZO YAKOOOOO KUPITIA NENO LA MUNGU NA MAOMBI

1SAM 17;7 BWANA ALIENIKOA KAA MAKUCHA YA SIMBA ATANIOKOA NA MFILISTI HUYU

MWAMBIE MUNGU AKUONDOLEE AAFILIST WOTE MAISHAN MWAKOOOO
 
chakula chako cha roho kinatoka kwenye neno la Mungu ukilijua ooohps wonderfully
Tatizo watu siku hizi wanapenda kutafuniwa kila kitu, hawataki kusugua magoti kumuomba Mungu, kufunga, kusoma Neno kwa bidii kwa msaada wa Roho mtakatifu.

Wanapenda kusikia pokea nyumba, huku hana kazi ya kipato hata cha 4000 kwa siku.

Pokea mapacha, wakati hana mume, sijui pokea kuzaa mara mia wakati hana kazi ya mikono yake ambayo angeombewa ibarikiwe ili imletee mafanikio.

Mungu aturehemu, hawa jamaa hawafundishi mafundisho ya kuukulia wokovu wala kutubu dhambi na kuishi maisha matakatifu.
 
Tatizo watu siku hizi wanapenda kutafuniwa kila kitu, hawataki kusugua magoti kumuomba Mungu, kufunga, kusoma Neno kwa bidii kwa msaada wa Roho mtakatifu.

Wanapenda kusikia pokea nyumba, huku hana kazi ya kipato hata cha 4000 kwa siku.

Pokea mapacha, wakati hana mume, sijui pokea kuzaa mara mia wakati hana kazi ya mikono yake ambayo angeombewa ibarikiwe ili imletee mafanikio.

Mungu aturehemu, hawa jamaa hawafundishi mafundisho ya kuukulia wokovu wala kutubu dhambi na kuishi maisha matakatifu.
Mkuuu alafu niliwahi msikiliza huyo jamaa ilikuwa n jtano usiku saa sita sahaizi yuko efm
Akasemaa keshoo mapemaaa jpili muwahi munioneee heeee aisew nkasema.kumbe tunasikilizaga recoded

Nilipoacha kusikiliza nilimsikia Jomanne moja April anasema usikuwaleoooo kuuona mwaka 2024 unakwenda kubarikiwa 2023 inamalizika mmh niliwaza 😂
 
kuna huyo anajiita kiboko ya wachawi,aisee jamaa anawaibia watu vibaya sana.

Simu zinapigwa full maigizo.
Ndiooohuyooo wa buza kwa lulengeee hahahahaaa duniaa hiii 😂
 
Wamamaaa wanapigwaaa wanataka miujizaa pesaa za haraka so wanapigikajee aisee poor them

Kuna mmamamaa mmoja mtaani alikuwa huko nakwambia alipeleka helaa mpaka akachokaaaaaaaa

We unafufuaaa watu redioniiusikuwamananee tu khaaaa

Pigaa hiyooonambaqyakee kama utampataaa

Ukitaka kuchekaa anaposema na aliepiga nikutabirie ndioo baba unaitwa shemeji mtongani heeee ndioo baba una watoto 4 ndioo babaaa heheheee unakaa na mamamkwee ndioo umejuaajee sasa huyoooo mamamkwe ndioo ameleta matatizo yenuuyooote looh nie niongeee nae sawa babaaa

Aloooh ndooo unaitwaaa rehemaa yyyy ndiooo umejuaje jinalangu m n nabiii ndioo sasaaa haooowanaoo unawalogaa uoni wanavyotesekaaa umejuajeee baba ...nikazima. a redio
 
NARUDIA TENA MUNGU AWAPE UFAHAMU KULIJUA NENO LA MUNGJ WAPENDWA

KUNA JIRAN YANGU N MPENZI SANA WA MAHUBIRI YA REDIO NI

AKAJICHANGANYA KASIKIA KANISA MOJA HUKO BUZA

ALIPOFIKA NO 1 KUMWONA NABII AKAAMBIWA SHIDA ZAKE ZINAHITAJ GHARAMA KUBWA

ALIEMLOGA AMETUMIA HELA KUBWA

KAAMBIWA ATAFUTE 300000

DADA AKAJA KUNIOMBA USHAURI NKAMWAMBIA MI SIJAWAHI AMINI MANABII WANAOSEMA NJOO OFISINI MAPEMA SIJUI ANA WATU WENGI USI NA USI...KUMB 13:5_9


NIKAMWAMBIA SIJAWAHI SIKIA MANABII WACH MAARUFU KAMA KINA MAREHEMU KULOLA AMA YULE WA ASSMBLIES OF GOD WAANZILISHI HAWAKUWAHI KUITA WAUMINI VYUMBANI

JIHADHARI NA MATAPELI WAPENDWA NENDEN MKASOME NENO LA MUNGU MJUE MUNGU HATA MKIWA NA SHIDA KUNA MAANDIKO YA MAGONJWA UMASIKINI SIMAMIEN KWA MAOMBI MTATOKA

HAWA WANAOTAKA KUKUONA KUKUSAIDIA MPAKA UTOE PESAA KIMBIEN
BIBLE IKO WAZI MMEPEWA BURE TOENI BURE

HAYA MAMBO YA SIJUI UMELOGWA SANAA UMEPIGWAA SANA KWA GHARAMA ATI NA WEWE UTOEW GHARAMA ILI UOMBEWE

JIULIZENI SANA KWA HILI HASA WAMAMA.MMEKUWA MISIKULE YA HAWA WATU HUKUU MKIISHIA KUWA MASIIKINIIII

SHAME N U
siri muhimu sana ya kutambua yote hayo,

ni kutubu katika Roho na Kweli, ili Roho Mtakatifu ahuishe Nafsi na Moyo wako viwe tayari kutambua na kuskia vema sauti ya wito wa Mungu katika maisha yako....

katika dunia ya leo watu wengi wako tayari, kirahisi sana kuskia maelekezo hata yasiyofaa ya mtu anaejiita nabii....

ladies and gentlemen ni kubaya, ikikupendeza , tumia bible kutafuta majawabu ya mahitaji, changamoto na matatizo unayoyapitia, utatoboa kirahisi 🐒
 
Back
Top Bottom