Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Mazoea hujenga tabia.Kwa sisi wengine toka tunakua tulizoea sana choo cha kukaa. Tulipoenda shule angalau tukajifunza mambo mapya.
Nimemaliza chuo miaka ming ago, from there nimekuwa nikitumia nyumba zenye vyoo vya kukaa kama utotoni.
Leo nimekutana na changamoto ya kutumia choo cha kuchuchumaa. Miaka yote sijawahi kwenda haja kubwa nikiwa kazini.
Leo nimeenda. Kiukweli nimeteseka sana. Kuchuchumaa ni shida. Miguu inauma. Imebidi nitoe nguo za chini zote maana nlikuwa na wasiwasi zaweza chafuka.
Shida zaidi ikaja wakati wa kutawadha/tawaza. Mkono ulikuwa hauwezi kufika vizuri. Nimetumia dakila zaidi ya 8 kwa kitendo ambacho wenzangu wanatumia sekunde kadhaa.
Mpaka nimetoka siamini kama nimeswafika vizuri. Ilinibidi tu niondoke ofisini kurudi home. Mapaja yanauma kwa kuwa sijawahi chuchumaa kwa muda mrefu.
Sasa nimejiwekea utaratibu wa kufanya mazoezi ya kuchuchumaa.just in case nakutana tena na dhahma kama hiyo. Binafsi napenda chumbani kwangu niwe natumia choo cha kukaa na sipendi kujisaidia kwa watu.
Lakini nimegundua now i have to be ready kwa kila jambo. Mazoea hujenga tabia.
Nimemaliza chuo miaka ming ago, from there nimekuwa nikitumia nyumba zenye vyoo vya kukaa kama utotoni.
Leo nimekutana na changamoto ya kutumia choo cha kuchuchumaa. Miaka yote sijawahi kwenda haja kubwa nikiwa kazini.
Leo nimeenda. Kiukweli nimeteseka sana. Kuchuchumaa ni shida. Miguu inauma. Imebidi nitoe nguo za chini zote maana nlikuwa na wasiwasi zaweza chafuka.
Shida zaidi ikaja wakati wa kutawadha/tawaza. Mkono ulikuwa hauwezi kufika vizuri. Nimetumia dakila zaidi ya 8 kwa kitendo ambacho wenzangu wanatumia sekunde kadhaa.
Mpaka nimetoka siamini kama nimeswafika vizuri. Ilinibidi tu niondoke ofisini kurudi home. Mapaja yanauma kwa kuwa sijawahi chuchumaa kwa muda mrefu.
Sasa nimejiwekea utaratibu wa kufanya mazoezi ya kuchuchumaa.just in case nakutana tena na dhahma kama hiyo. Binafsi napenda chumbani kwangu niwe natumia choo cha kukaa na sipendi kujisaidia kwa watu.
Lakini nimegundua now i have to be ready kwa kila jambo. Mazoea hujenga tabia.