Jitahidi usizoee jambo hili utaabika. Nimejilaumu sana

Jitahidi usizoee jambo hili utaabika. Nimejilaumu sana

Wataalamu wanasema choo cha kuchuchumaa ni kizuri zaidi ya cha kukaa kwa sababu, kuchuchumaa kunakusababusha uondoe haja yote kwa ule mkao.

Pia, wanasema vyoo vya kukaa ni moja ya sababu za kuongezeka kwa bawasiri (hemorrhoids).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie ndo mnafanya wanaume wa dar tudharaulike sana yaani unaweza kuja hapa kuanzisha uzi eti unaona ugumu na maumivu kuchuchumaa kwa mda mdogo wa kunya tu jmn umeniboa sana aisee usirusie siku mingine sawa au kama vip futa huu uzi bhana


Labda inamchukua muda mrefu kumaliza kunya kutokana na ugumu wa kimba basi anajikuta anaumia😀😀😀
 
Shwaini! Usirudie kuandika upuuzi wewe ni chizi wa kurogwa !
Mazoea hujenga tabia.Kwa sisi wengine toka tunakua tulizoea sana choo cha kukaa. Tulipoenda shule angalau tukajifunza mambo mapya.

Nimemaliza chuo miaka ming ago, from there nimekuwa nikitumia nyumba zenye vyoo vya kukaa kama utotoni.

Leo nimekutana na changamoto ya kutumia choo cha kuchuchumaa. Miaka yote sijawahi kwenda haja kubwa nikiwa kazini.

Leo nimeenda. Kiukweli nimeteseka sana. Kuchuchumaa ni shida. Miguu inauma. Imebidi nitoe nguo za chini zote maana nlikuwa na wasiwasi zaweza chafuka.

Shida zaidi ikaja wakati wa kutawadha/tawaza. Mkono ulikuwa hauwezi kufika vizuri. Nimetumia dakila zaidi ya 8 kwa kitendo ambacho wenzangu wanatumia sekunde kadhaa.

Mpaka nimetoka siamini kama nimeswafika vizuri. Ilinibidi tu niondoke ofisini kurudi home. Mapaja yanauma kwa kuwa sijawahi chuchumaa kwa muda mrefu.

Sasa nimejiwekea utaratibu wa kufanya mazoezi ya kuchuchumaa.just in case nakutana tena na dhahma kama hiyo. Binafsi napenda chumbani kwangu niwe natumia choo cha kukaa na sipendi kujisaidia kwa watu.

Lakini nimegundua now i have to be ready kwa kila jambo. Mazoea hujenga tabia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mazoea hujenga tabia.Kwa sisi wengine toka tunakua tulizoea sana choo cha kukaa. Tulipoenda shule angalau tukajifunza mambo mapya.

Nimemaliza chuo miaka ming ago, from there nimekuwa nikitumia nyumba zenye vyoo vya kukaa kama utotoni.

Leo nimekutana na changamoto ya kutumia choo cha kuchuchumaa. Miaka yote sijawahi kwenda haja kubwa nikiwa kazini.

Leo nimeenda. Kiukweli nimeteseka sana. Kuchuchumaa ni shida. Miguu inauma. Imebidi nitoe nguo za chini zote maana nlikuwa na wasiwasi zaweza chafuka.

Shida zaidi ikaja wakati wa kutawadha/tawaza. Mkono ulikuwa hauwezi kufika vizuri. Nimetumia dakila zaidi ya 8 kwa kitendo ambacho wenzangu wanatumia sekunde kadhaa.

Mpaka nimetoka siamini kama nimeswafika vizuri. Ilinibidi tu niondoke ofisini kurudi home. Mapaja yanauma kwa kuwa sijawahi chuchumaa kwa muda mrefu.

Sasa nimejiwekea utaratibu wa kufanya mazoezi ya kuchuchumaa.just in case nakutana tena na dhahma kama hiyo. Binafsi napenda chumbani kwangu niwe natumia choo cha kukaa na sipendi kujisaidia kwa watu.

Lakini nimegundua now i have to be ready kwa kila jambo. Mazoea hujenga tabia.
Teheteheeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mazoezi mepesi mepesi ni muhimu haswa kwa watu wasiofanya kazi zenye uhitaji wa nguvu nyingi.
.
 
Mazoea hujenga tabia.Kwa sisi wengine toka tunakua tulizoea sana choo cha kukaa. Tulipoenda shule angalau tukajifunza mambo mapya.

Nimemaliza chuo miaka ming ago, from there nimekuwa nikitumia nyumba zenye vyoo vya kukaa kama utotoni.

Leo nimekutana na changamoto ya kutumia choo cha kuchuchumaa. Miaka yote sijawahi kwenda haja kubwa nikiwa kazini.

Leo nimeenda. Kiukweli nimeteseka sana. Kuchuchumaa ni shida. Miguu inauma. Imebidi nitoe nguo za chini zote maana nlikuwa na wasiwasi zaweza chafuka.

Shida zaidi ikaja wakati wa kutawadha/tawaza. Mkono ulikuwa hauwezi kufika vizuri. Nimetumia dakila zaidi ya 8 kwa kitendo ambacho wenzangu wanatumia sekunde kadhaa.

Mpaka nimetoka siamini kama nimeswafika vizuri. Ilinibidi tu niondoke ofisini kurudi home. Mapaja yanauma kwa kuwa sijawahi chuchumaa kwa muda mrefu.

Sasa nimejiwekea utaratibu wa kufanya mazoezi ya kuchuchumaa.just in case nakutana tena na dhahma kama hiyo. Binafsi napenda chumbani kwangu niwe natumia choo cha kukaa na sipendi kujisaidia kwa watu.

Lakini nimegundua now i have to be ready kwa kila jambo. Mazoea hujenga tabia.
wewe sema tu kwamba unahitaji kupanguswa huko chini mbona unazunguka mnoo??
 
Back
Top Bottom