Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Comments reservedKukata gogo ni moja ya kutoa uchafu mwilini. Katika mambo ya kiroho kukata gogo ni moja ya kutoa mikosi, nuksi na majanga katika mwili wa binafamu. Kwa maana hiyo watu tunashauriwa usipendelee kunya nyumbani.
Jitahidi uwe unaenda kufanya haja kubwa sehemu tofauti ili kama unatoa mikosi, nuksi na majanga yaliyo mwilini uwe unayatolea mbali na sehemu unayoishi ili yasije kukurudia tena. Ukibanwa na haja kubwa usisubiri mpaka ufike nyumbani, tafuta chimbo utoe nuksi na mikosi mbali na nyumbani ili ujikinge mikosi uliyoitoa mwilini isikurudie.
uganga na uchawiNimekumbuka kipindi flani nipo Iringa nilisikia Kuna tajiri Mmoja akitaka kukata gogo anaenda porini, haruhusiwi kufanya Hivyo nyumbani kwake
Halafu tukichelewa kufika kwenye nchi ya Asali na Maziwa tunaanza kumtafuta mchawi, ilihali sisi wenyewe ndio tatizo.Kukata gogo ni moja ya kutoa uchafu mwilini. Katika mambo ya kiroho kukata gogo ni moja ya kutoa mikosi, nuksi na majanga katika mwili wa binafamu. Kwa maana hiyo watu tunashauriwa usipendelee kunya nyumbani.
Jitahidi uwe unaenda kufanya haja kubwa sehemu tofauti ili kama unatoa mikosi, nuksi na majanga yaliyo mwilini uwe unayatolea mbali na sehemu unayoishi ili yasije kukurudia tena. Ukibanwa na haja kubwa usisubiri mpaka ufike nyumbani, tafuta chimbo utoe nuksi na mikosi mbali na nyumbani ili ujikinge mikosi uliyoitoa mwilini isikurudie.
IgnoranceMbona mmekosea tena kuandika? Sio kwa... Ondoeni neno kwa. Turudi kwenye mada, hizo ni imani za kipuuzi, hakuna mtu anayependa kujaziwa choo na watu wengine ndio maana vyoo vya uswahilini muda mwingi vimefungwa kwa kufuli kuzuia wapita njia kujisaidia. Mikosi gani hiyo inayotoka kwa kujisaidia haja kubwa kama si imani za kishenzi na ushirikina?
What the heck!!!🤣🤣🤣Aya karibu tunye.