Jitegemee vs Makongo back 2000

Jitegemee vs Makongo back 2000

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Kwa tuliosoma jitegemee na makongo kipi unakikumbuka then,
Sitowasahau Hawa Col masawe daz Baba, Mr Mrimi (R. I. P) jitegemee enzi hizo, makongo nawakumbuka Afande Miraji, hashimu thabeet, Babu. Ayubu nk.
 
Kwa tuliosoma jitegemee na makongo kipi unakikumbuka then,
Sitowasahau HAWA Col masawe daz Baba, Mr Mimi (R. I. P) jitegemee enzi hizo, makongo nawakumbuka Afande Miraji, hashimu thabeet, Babu. Ayubu nk.
Kwa makongo
Afande yeye, mama mosha, mkaanga sumu, kombaaaa, babu chacha
Wakina Alex minondo, babu ayubu, wahuni kibao pale mwenge, mbuyu wa kule nyambizi
 
Kwa tuliosoma jitegemee na makongo kipi unakikumbuka then,
Sitowasahau HAWA Col masawe daz Baba, Mr Mimi (R. I. P) jitegemee enzi hizo, makongo nawakumbuka Afande Miraji, hashimu thabeet, Babu. Ayubu nk.
Mr Mimi= Mrimi Mnandi?
Kuna afande Kihimbi(RIP), tall nk
 
umefanya nimkumbuke Mgomba, fundio wa organic,

m nawakumbuka akina
beiya(huyu boya alinikamata sijavaa tai, siku ya kwanza tuu naingia ile shule, aloooo........), ndiamkama, talll, orando, Mr misifa nani yule jina limenitoka, kumaliga mzee wa geti, n.k n.k,
nilisoma pale kwa mda mfupi tuu, lkn nina ka historia kalikoshibaaaa.
 
Afande chacha na miraji wale walikua kiboko ukizngua wanazingua ilikua hatari sana
 
Afande kumaliga alinitoa nishai siku ya kwanza tu nareport shule, sikuvaa yale masketi yao wanayogawa.
 
Afande kumaliga alinitoa nishai siku ya kwanza tu nareport shule, sikuvaa yale masketi yao wanayogawa.
Mngesoma miaka ya nyuma mngekutana na akina mkisi Ilikuwa ni shida aisee
 
Mngesoma miaka ya nyuma mngekutana na akina mkisi Ilikuwa ni shida aisee
Alikuwa mkali kama Arando au.
Jina LA mkisi nimelikuta lakini vilikuwa vinaitwa vile viatu tunavyopewa pale.
Yale maviatu ni mabaya jamani😂
 
Alikuwa mkali kama Arando au.
Jina LA mkisi nimelikuta lakini vilikuwa vinaitwa vile viatu tunavyopewa pale.
Yale maviatu ni mabaya jamani[emoji23]
Arando huyu junior officer ni boya tu kwa mkisi alikuwa ni shida aisee waulize D-knob wanamfahamu
 
Kuna ticha mmoja aliitwa mtokambali, alikuwa na sifa balaa! Afande bruno, mkisi, ndiyamkama, tall, afande ismail, afande mchina
 
Jiteute!! Pale kulikuwa na mkisi, arando, pengo, kumaliga, ndyamkama, Bruno, tall, madam Leticia afande wa kike alienyongorota, afande chale, mtoka mbali, Mr kwembe, Mr fusi, babu shimba yaani ulikuwa ukiingia kwenye 18 hawakuachi lazima uumie
 
Afande Miraji alikuwa Star,maana hata tusiosoma Makongo tulisikia habari zake.
 
Back
Top Bottom