Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
HAPANA ZIPO MBONA TENA NZURI TU. MOULINEX NEW MODEL. SAFI SANA.:nimekataaZa mtumbani hizo au bei chee. Mie sijawahi kuona ikiwa peke yake labda uvunje jug ukanunue lenyewe..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAPANA ZIPO MBONA TENA NZURI TU. MOULINEX NEW MODEL. SAFI SANA.:nimekataaZa mtumbani hizo au bei chee. Mie sijawahi kuona ikiwa peke yake labda uvunje jug ukanunue lenyewe..
Hahaha hiyo kimawe huingia kwa bahati mbaya ati....kuna shosti wangu anasema mdalasini wa unga mwengine ati unga wa mbao tu haunukii lol
Yeah ni kweli aisee wengine wanachanganya na poda la mbao yaani Mie viungo halisi nanunua kariakoo kwa Issa na si kwingine
Yaani vitu vyengine kununua mtihani tu
Wacha kabisa shosti ntianiiiii ntianii
Shoga angu wee mmakonde?
Ha ha haaaaaa!! Shoga kidawa huko ndo ntaani kwetu....
Mumy naomba na viungo vya chai jamani
GINGER GARLIC PASTE-SAUMU NA TANGAWIZI
Mahitaji
Kitunguu saumu na tangawizi uwiano sawa 200g..
Chumvi kijiko 1 na nusu cha chai..ikaange hadi iwr golden brown (ili mchanganyiko wetu usiharibike)...
Mafuta ya kupikia vijiko 4 vya chai
Namna ya kutaarisha....
Weka vitu vyote katika blenda au food processor saga bila ya kuweka maji....
Saga hadi iwe laini na hifadhi katika chupa ya kigae
Mamie hii paste unaipikia nini hasa?
Owh nliwaahidi ntaeka mnisamehe nimejisahau ntaweka soon
Dada huo Uzi viungo vya chai title yake inaitwaj ni usake samahn