Jiti alilobeba Ali Kiba lataka kumtoboa machoshabiki tuzo za MTV

Jiti alilobeba Ali Kiba lataka kumtoboa machoshabiki tuzo za MTV

Jiti hilo alilolishikilia mrefu akiwa anaimba jukwaan haijajulikana sababu ya msingi ya kulishikilia hivyo limeibua maswali ambayo hayana majibu hivyo limezua gumzo nchini south africa na hisia tofaut wengi wakihusisha na iman za kishirikina.
Alipotafutwa mtu wa team yake alisema tu jiti limesaidia kuongeza mvuto bila kufafanua huku akicheka kwa furaha.



Monica strach mkaazi wa pretoria alisema alilazimika kuacha kutazama show na kua makin na jiti hilo lilimkwangua sehem ya juu ya jicho mara mbili...


Ali kiba alipanda jukwaan akiwa na jiti kubwa linaloogofya huku akiliweka nyuma na yeye nyuma huku akikata mauno kama feni bovu kwenda kushoto kulia bila kujali usalama wa watazamaji



My take kulikua hamana haja ya kubeba lijiti kama unaenda kuua nyoka ile ni burudani na uchawi hauvuki bahari sehem nyingine wered laxima utumike
[emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji1]
 
hahahahaha nimecheka sana... jiti hilo...
 
nimecheeeeekaaaa! afu nimejaribu ku imagine hayo maandishi ayasome hemedi kivuyo wa itv
 
Ile ilikuwa silaha kwa ajili ya Salaam kama angeenda kumzimia mic. Angeonekana tu mngeona kichapo cha kufa mtu. Shirki ndio anguko la huyu bwana mdogo.
Nimechekaaaa. Watu wa JF mna maneno. khaa!
 
Ile ilikuwa silaha kwa ajili ya Salaam kama angeenda kumzimia mic. Angeonekana tu mngeona kichapo cha kufa mtu. Shirki ndio anguko la huyu bwana mdogo.
HAHAHAHA jf raha tupu mnanipasua mbavu hakika.... hatari sana
 
Sio Uzalendo,

impression yake ni kuwa yeye ndio "Mfalme" wa Music Tanzania.

Naskiaga eti siku hizi kuna"TEAM bla bla" Vs Team bla bla.

Kwa hiyo yeye kuvaa hivyo anaamini tayari ni "King"
pia sikutegemea Alikiba angelivaa hivyo kwenye hilo tukio.....
 
Hapo UBUNIFU uko wapi..!?
Hivi inahitaji AKILI ya ziada kutambua kwamba hiyo style aliyotumia jukwaani imeenda kudhihirisha bifu yake na Platnumz kwa ULIMWENGU..!?
Yaani hapo kama BIFU ni JIKO,Ali Kiba amechochea KUNI..!
ni kweli
kiba anachochea beef
kwenda kujivalisha bendera na kiti kile ndo nn sasa
 
Jiti hilo alilolishikilia mrefu akiwa anaimba jukwaan haijajulikana sababu ya msingi ya kulishikilia hivyo limeibua maswali ambayo hayana majibu hivyo limezua gumzo nchini south africa na hisia tofaut wengi wakihusisha na iman za kishirikina.

Alipotafutwa mtu wa team yake alisema tu jiti limesaidia kuongeza mvuto bila kufafanua huku akicheka kwa furaha.
Monica strach mkaazi wa pretoria alisema alilazimika kuacha kutazama show na kua makin na jiti hilo lilimkwangua sehem ya juu ya jicho mara mbili...

Ali kiba alipanda jukwaan akiwa na jiti kubwa linaloogofya huku akiliweka nyuma na yeye nyuma huku akikata mauno kama feni bovu kwenda kushoto kulia bila kujali usalama wa watazamaji

My take kulikua hamana haja ya kubeba lijiti kama unaenda kuua nyoka ile ni burudani na uchawi hauvuki bahari sehem nyingine wered laxima utumike
acha uchawi wewe
mbona una wivu sana kijan???
kwahiyo mwenzako ashindwe kubuni kisa takataka ww kwa taarifa yako kiba hakujui hata ukiandikaje haidhuru
 
Ule utafiti wa 1:4 uko sahihi sana.
Halafu kuwa na chuki hivi plus kutunga maneno kunasaidia nini?
Ni kweli hata Mimi nilimuona na mjiti sikuelewa lina maana gani ila ule ni uchawi
 
Kijana kajitahidi kafanya ubunifu mzuri sana lakini bado kunawatu wanamponda wabongo noma sana!
f92149df02a70191277759128da08c61.jpg


-Nyerere-


Ubunifu na ilo tambara nyuma yake ni nini??
 
Back
Top Bottom