Jitihada zenu zimezaa matunda, haya hongera zenu

Jitihada zenu zimezaa matunda, haya hongera zenu

Asee mi mpaka kuna mda najiuliza hivi huu ni utoto au ni ujinga ?
Maana watu wanalalamika kama wanaonewa, wachezaji wote wanaumia lakini hamna kelele.
Hizi ni hoja zinatengenezwa Ili kuonyesha mayele like anapata favor flani hivi.
Mashabiki wanakawaida ya kutetea timu na wachezaji wao, ila Simba wamezidi. Washakuwa vipofu kabisa. Yani wao wakishinda 7,wanasema halali, Yanga akishinda 3 wanasema katembeza mlungula
 
Mashabiki wanakawaida ya kutetea timu na wachezaji wao, ila Simba wamezidi. Washakuwa vipofu kabisa. Yani wao wakishinda 7,wanasema halali, Yanga akishinda 3 wanasema katembeza mlungula
wapuuzi tu
wamemuumiza shikaro mechi ya mtibwa wakashinda goli nyingi wala hakuna aliye lalamika.ila wakiguswa wao kdg kelele mji mzima
 
Si kweli kuwa hawajatumwa.

Ingekuwa mara moja au mbili,tungeona ni kawaida.Lakini unaona kabisa watu wanafanya kwa intention fulani kuliko wanavyotafuta kufunga goli.

Haya mambo ni ushenzi tu na tunajua msomali yuko nyuma ya haya yote

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app

Kwani huyo jamaa ni so special kiasi hicho??
So wachezaji wanaocheza rafu wametumwa?
Na una ushahid kuwa msomali anahusika au ni hisia na kuchafua watu?
Mwisho huyo jamaa ni wa kawaida saaana
 
Si kweli kuwa hawajatumwa.

Ingekuwa mara moja au mbili,tungeona ni kawaida.Lakini unaona kabisa watu wanafanya kwa intention fulani kuliko wanavyotafuta kufunga goli.

Haya mambo ni ushenzi tu na tunajua msomali yuko nyuma ya haya yote

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
We jamaa huwa unalia lia sana
IMG_20220819_105647_989.jpg
 
Mashabiki wa Simba wanaendeshwa na mihemko sana.

Hawataki timu yao ifungwe, hawataki idroo, hawataki wachezaji waguswe au kuumizwa. Yani wanadeka mpaka basi.

Nkane kaumizwa juzi kati, hakumaliza ile mechi ila hawaongelei ilo.

Wachezaji wote Wana haki sawa, hakuna anayetakiwa kuumizwa au anayepewa kipaumbele na ulinzi.

Issue ya Phiri mmeishupalia sababu ya Mayele.
Kazi kweli kweli!
 
Mpka sasa wachezaji wangapi wameumia kwenye NBC premier League what so special kwa Phiri? Banda,Nkane, Moloko,Dube,Shikalo tena ilikua mechi ya Simba na Mtibwa hao wengine wana haki ya kuumia isipokua yeye tu?
Sasa phili unafananisha na hizo takataka?
 
Mashabiki wa Simba wanaendeshwa na mihemko sana.

Hawataki timu yao ifungwe, hawataki idroo, hawataki wachezaji waguswe au kuumizwa. Yani wanadeka mpaka basi.

Nkane kaumizwa juzi kati, hakumaliza ile mechi ila hawaongelei ilo.

Wachezaji wote Wana haki sawa, hakuna anayetakiwa kuumizwa au anayepewa kipaumbele na ulinzi.

Issue ya Phiri mmeishupalia sababu ya Mayele.
Simba na yanga wote ndivyo mlivyo mkuu.Huwa mnaamka mmoja wenu anapozidiwa.
 
Back
Top Bottom