Hizbu Sharifu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2021
- 450
- 890
Asilimia zaidi ya asilimia 90 yanayokukabili Chanzo chake NI wewe mwenyewe
CCM hamjapeleka shule za kutosha maeneo hayo. Lawama ni kwa Chama chenu
Much love and respect to you brotherSijakataa ila uchawi upo na watu hasa watu wa karibu wanatumia uchawi kuwaharibia wenzao na nimeandika tu kama umerogwa utaona kama hujarogwa huobi kitu its simple
Ubani kazi yake ni kuondoa harufu mbaya na majini wwzuri hawapendi harufu mbayaSasa kuna uchawi tena hapo zaidi ya huo utakaoufanya wewe?
Usingizi utakuja kweli najua kabisa nimelalia mkaa wenye ubani?
Siasa ndio zinaendesha maisha yetu ya kila siku. Kiongozi wa siasa anaweza kufunga nyumba yako ya ibada nawe ukatii.Dah mbona siasa tena zimezuka jamani tueni waelewa
Sasa mtoa mada,tupe na namba zako ili tukikuta tumerogwa uje ututibie[emoji848]
Good, ngoja huo mkaa na ubani leo ukanikome[emoji23]Uje tu inbox ntakupa maagizo ya kujitibu mwenyewe kuna dawa ntakuagiza ukanunue mwenyewe utafanya lengo ni kusaidia tu
Ubani kazi yake ni kuondoa harufu mbaya na majini wwzuri hawapendi harufu mbaya
Mkaa kazi yake ni kuwasha moto
Hakuna kitu cha ajabu
Kwangu hiyo kusaga mkaa, kuuchanganya na ubani kisha niulalie Alhamis ndio kitu cha ajabu.
Mkaa unawasha moto gani? Kwanini iwe siku ya Alhamis na sio siku yeyote? Majini wazuri??? Siwataki kuanzia wazuri hadi wabaya.
Kama hadi hapa nilipo sijawahi fanya hizo mambo na naendelea vizuri, siwezi kabisa hata kujaribu, achilia mbali kuwaza.
Naamini nilizaliwa siku moja, ntakufa siku moja pia, mlinzi wangu ni Mungu Muumba mbingu na vyote viijazavyo dunia.
Hv udi ndo ubani ama?
Siasa ndio zinaendesha maisha yetu ya kila siku. Kiongozi wa siasa anaweza kufunga nyumba yako ya ibada nawe ukatii.
Kwa hiyo mkaa una nguvu gani kiongozi, na hizo ndoto kama umelogwa zitakuwaje watu wasije piga makele usiku. Eleza vizuriKazi ya udi na ubani ni kuondosha harufu mbaya watu wengi hutumia ubani sababu ubani ni bei rahisi ila kazi yake ni moja kama unaubani au udi
Kama umerogwa lini sasa utaona?. Nilisharogwa kitambo sana huko miaka ya 2000,2010,2018 huko. Na aliekuwa ananiloga 2000 alifariki. 2010 alifariki. Wengine na wengine wote nitawaona? Au huyo tu wa hapo hapo?Sijakataa ila uchawi upo na watu hasa watu wa karibu wanatumia uchawi kuwaharibia wenzao na nimeandika tu kama umerogwa utaona kama hujarogwa huobi kitu its simple