Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, Hizbu Sharifu, nina changamoto ya social phobia, miaka yote nimekua wa kukaa peke yangu. Faraja ninayoiona ni rafiki wa kijini wa kike wa kupiga naye STORI TU. Awe jini mzuri asiye na masharti.Habari wanajamii
Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwemyewe kama umerogwa
1. Chukua mkaa usage sage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia
2. Usiku wa kuamkia alkhamisi wekq dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha
Asanteni sanna
[emoji122][emoji122][emoji122]Mshana Jr ni mtaalaam wa mambo kama haya na ni mkristo hutujawahi kuona ukitoa comment kama hii hii inaonesha wewe ni mdini mbaguzi na mshamba sana
Kwani majini ni nini? Wanashida gani ukiwafuga?Halafu tukisema kuna Dini ya wafuga majini Kuna watu wanabisha
Weeee bwana weeee hv kweli?
Acha usaniii
Mkuu, Hizbu Sharifu, nina changamoto ya social phobia, miaka yote nimekua wa kukaa peke yangu. Faraja ninayoiona ni rafiki wa kijini wa kike wa kupiga naye STORI TU. Awe jini mzuri asiye na masharti.
Nielekeze jinsi ya kumuita au muite kwa niaba yangu.
Kwani majini ni nini? Wanashida gani ukiwafuga?
Hakuna shida kufuga majini bali shida ipo ukizinguana nao
Samahani ikiwa unafanya hivyo kama maelezo yako hapo hakutakuwa na shirki manake kwa mujibu wa shirki ni fitina na kama ukifanya hivyo kama usemavyo na kumjua alie kuronga maana yake fitna kati yao imeshaanza. Kama jini mbaya pengine anamuotesha mtu ambae hana uhusiano wowote na kurogwa Bali huyo jini anataka kuwa fakaranisha tu kati yao. Naomba ufafanuzi wa swali langu
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Tofautisha haya mambo? TueleweShiriki na uchawi ni mambo mawili tofauti usichanganye kati ya shirki na uchawi
Haya mambo haya,kuna mtu alinishauri ili kuwaona wachawi nichukue majani ya mbaazi na kipande cha mti wake nivifunge pamoja na kipande cha mkaa halaf niweke chini ya mto.......sitorudia tena ule ujinga,wachawi sio wazungu mzee,wanatisha sana!!Habari wanajamii
Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwemyewe kama umerogwa
1. Chukua mkaa usage sage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia
2. Usiku wa kuamkia alkhamisi wekq dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha
Asanteni sanna
Kweli lakini lazima na dua i ambatanishwe.Weeee bwana weeee hv kweli?
[emoji23][emoji23][emoji23] so uliwaona lakini?Haya mambo haya,kuna mtu alinishauri ili kuwaona wachawi nichukue majani ya mbaazi na kipande cha mti wake nivifunge pamoja na kipande cha mkaa halaf niweke chini ya mto.......sitorudia tena ule ujinga,wachawi sio wazungu mzee,wanatisha sana!!
your foundation should be God and not christ.Kwakweli acha tu yanipite pembeni. My solid foundation is in Christ alone!!!
your foundation should be God and not christ.