Kibishi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 1,139
- 1,031
Kama wana masharti ya kuninyima raha achana nao, tabu ninazopata za upweke na introvertism zinatosha.Ndugu yangu utawawesa majini kweli kukaa nao!? Wanamasharti ya ajabu ajabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wana masharti ya kuninyima raha achana nao, tabu ninazopata za upweke na introvertism zinatosha.Ndugu yangu utawawesa majini kweli kukaa nao!? Wanamasharti ya ajabu ajabu
Ilikuaje?? Uliwaona???Haya mambo haya,kuna mtu alinishauri ili kuwaona wachawi nichukue majani ya mbaazi na kipande cha mti wake nivifunge pamoja na kipande cha mkaa halaf niweke chini ya mto.......sitorudia tena ule ujinga,wachawi sio wazungu mzee,wanatisha sana!!
Kesho jumatano hebu nikanunue ubani nijaribu!
Hujasema kama mkaa na ubani vinacjanganywa au vipiHabari wanajamii
Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwemyewe kama umerogwa
1. Chukua mkaa usage sage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia.
2. Usiku wa kuamkia alkhamis weka dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha.
Asanteni sana
Kiongozi utakufa bule Kwa kukiuka masharti ushaambiwa alhamis acha mihemkoLeo najalibu
Maelezo hayajakamilika,uulaliaje ?halafu na siku alhamisi ndio siku maalumu au nilalie siku zote.
Ukiniona nistue fasta
Hivi hakuna Mtu yoyote aliyejaribu kulalia huo Ubani na Mkaa?
Kila la heri
Nasubiri mrejesho watakaojaribu.Niliuleta huu uzi juzi kwahio alkhamis ya kwanza itakua kesho kutwa
Mkuu je haitafikisha taarifa kwa aliekuroga kuwa umemjua nasikia ni hatari akijua, nipe ufafanuzi hapoHabari wanajamii
Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwemyewe kama umerogwa
1. Chukua mkaa usage sage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia.
2. Usiku wa kuamkia alkhamis weka dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha.
Asanteni sana
Ukishawaota hawatapata notification kuwa umewatambua na badae kukuletea matatizo?Niliuleta huu uzi juzi kwahio alkhamis ya kwanza itakua kesho kutwa
Lazima uwe nyumbani kwako?Habari wanajamii
Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwemyewe kama umerogwa
1. Chukua mkaa usage sage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia.
2. Usiku wa kuamkia alkhamis weka dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha.
Asanteni sana
Tunasubiri mrejeshoKesho jumatano hebu nikanunue ubani nijaribu!