Jitizame kama umerogwa ukiwa nyumbani kwako

Jitizame kama umerogwa ukiwa nyumbani kwako

Hivi hakuna Mtu yoyote aliyejaribu kulalia huo Ubani na Mkaa?
 
Maelezo hayajakamilika,uulaliaje ?halafu na siku alhamisi ndio siku maalumu au nilalie siku zote.
 
Haya mambo haya,kuna mtu alinishauri ili kuwaona wachawi nichukue majani ya mbaazi na kipande cha mti wake nivifunge pamoja na kipande cha mkaa halaf niweke chini ya mto.......sitorudia tena ule ujinga,wachawi sio wazungu mzee,wanatisha sana!!
Ilikuaje?? Uliwaona???
 
Habari wanajamii

Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwemyewe kama umerogwa

1. Chukua mkaa usage sage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia.

2. Usiku wa kuamkia alkhamis weka dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha.

Asanteni sana
Hujasema kama mkaa na ubani vinacjanganywa au vipi
 
Habari wanajamii

Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwemyewe kama umerogwa

1. Chukua mkaa usage sage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia.

2. Usiku wa kuamkia alkhamis weka dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha.

Asanteni sana
Mkuu je haitafikisha taarifa kwa aliekuroga kuwa umemjua nasikia ni hatari akijua, nipe ufafanuzi hapo
 
Nimesubscribe kwa ajili ya mirejesho ijumaaa

Mletee mirejesho wanduguuuu
 
Habari wanajamii

Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwemyewe kama umerogwa

1. Chukua mkaa usage sage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia.

2. Usiku wa kuamkia alkhamis weka dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha.

Asanteni sana
Lazima uwe nyumbani kwako?

Ukiwa Lodge, hotelini, nk inagoma?

JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom